Ipime afya ya akili yako hapa

Ipime afya ya akili yako hapa

Kahama- shy

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,971
Reaction score
2,737
Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja wenye picha hii. 👇

Picha yenyewe inaonekana ya ajabu kidogo… kama kitu kilichochorwa kwa namna isiyo ya kawaida kwa Vichaa ila mtu ambaye akili yake ipo sawa anaelewa hii picha vizuri bila wasi wasi.

Daktari au mhudumu humwambia mgonjwa: “Tuambie unaona nini hapa?”

Sasa hapo ndipo kipimo kinapoanza.

Kama mtu ana akili iliyotulia, anaweza kuitazama ile picha na kusema kitu kinachoeleweka Ataelezea kwa utulivu na kwa mantiki. Hapo madaktari wanapata dalili kwamba bado ana uwezo wa kufikiri vizuri, hata kama kuna tatizo kidogo.

Lakini kama mtu akiitazama ile picha na kushindwa kabisa kuelewa au akaanza kusema vitu visivyoeleweka, vinavyokosa mpangilio. hapo wanajua hali yake ni nzito zaidi. Wanaweza kumpeleka sehemu maalum ya uangalizi mkali zaidi.

Tuambie wewe unaionaje?
1774683079504.jpg
 
Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja wenye picha hii. 👇

Picha yenyewe inaonekana ya ajabu kidogo… kama kitu kilichochorwa kwa namna isiyo ya kawaida kwa Vichaa ila mtu ambaye akili yake ipo sawa anaelewa hii picha vizuri bila wasi wasi.

Daktari au mhudumu humwambia mgonjwa: “Tuambie unaona nini hapa?”

Sasa hapo ndipo kipimo kinapoanza.

Kama mtu ana akili iliyotulia, anaweza kuitazama ile picha na kusema kitu kinachoeleweka Ataelezea kwa utulivu na kwa mantiki. Hapo madaktari wanapata dalili kwamba bado ana uwezo wa kufikiri vizuri, hata kama kuna tatizo kidogo.

Lakini kama mtu akiitazama ile picha na kushindwa kabisa kuelewa au akaanza kusema vitu visivyoeleweka, vinavyokosa mpangilio. hapo wanajua hali yake ni nzito zaidi. Wanaweza kumpeleka sehemu maalum ya uangalizi mkali zaidi.

Tuambie wewe unaionaje?View attachment 3563621
 
Kwanza kichaa hawezi kuwa na mda wa kuitazama hiyo picha,.
Unaweza mwambia tizama hapa ukashangaa anacheka mbavu hana wew mwenyew ukatoka nduki
 
Wewe ukisema hivyo tu tayari kichaa wewe ingia chumba maalum ukaanze dozi
Kichaa ni wewe ambaye umeshikiwa akili na mtoa mada kuamini kwamba eti ni kipimo cha vichaa.
When you are sane and conscious you can feel it.
Hauhitaji mtu akupime.
 
Kichaa ni wewe ambaye umeshikiwa akili na mtoa mada kuamini kwamba eti ni kipimo cha vichaa.
When you are sane and conscious you can feel it.
Hauhitaji mtu akupime.
Sawa kichaa mtarajiwa naona umeamua kutoa jibu kuthibitisha ukichaa wako
 
Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja wenye picha hii. 👇

Picha yenyewe inaonekana ya ajabu kidogo… kama kitu kilichochorwa kwa namna isiyo ya kawaida kwa Vichaa ila mtu ambaye akili yake ipo sawa anaelewa hii picha vizuri bila wasi wasi.

Daktari au mhudumu humwambia mgonjwa: “Tuambie unaona nini hapa?”

Sasa hapo ndipo kipimo kinapoanza.

Kama mtu ana akili iliyotulia, anaweza kuitazama ile picha na kusema kitu kinachoeleweka Ataelezea kwa utulivu na kwa mantiki. Hapo madaktari wanapata dalili kwamba bado ana uwezo wa kufikiri vizuri, hata kama kuna tatizo kidogo.

Lakini kama mtu akiitazama ile picha na kushindwa kabisa kuelewa au akaanza kusema vitu visivyoeleweka, vinavyokosa mpangilio. hapo wanajua hali yake ni nzito zaidi. Wanaweza kumpeleka sehemu maalum ya uangalizi mkali zaidi.

Tuambie wewe unaionaje?View attachment 3563621
Dah mwanangu nimeanza kucheka mwenyewe sijui majibu kwa daktari yatakuaje...
 
Dah mwanangu nimeanza kucheka mwenyewe sijui majibu kwa daktari yatakuaje...
Wewe ni moja kwa moja unaanza kupigwa Sindano za kupunguza ukichaa baada ya kukipiga msasa wa vidonge kwa muda wanakuongezea picha hii hapa halafu unaulizwa unaona nini hapo?

Ili waweze kuprove kwamba umeshapona au kichaa kimepamba moto zaidi baada ya kupatiwa matibabu

Screenshot_20260329_211811.jpg
 
Back
Top Bottom