Ipi tofauti kati ya Computer Science, Software Engineering na Computer Engineering?

Life starts at 45

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
976
932
Habari za muda huu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ningependa kufahamishwa utofauti ktk hizo engineer na jinsi unavyoweza pata ajira either kwa kuajiriwa au kujiajiri
 
Hizi kozi zimafanana kisasi chake lakin ni tofauti.

Software engineering wamebase upande wa software. From designing, implementation to final application ya software.

Huku utasoma jinsi ya kutenegeneza software za aina zote na ufanyaji kazi wake. Kuna vitu vingi sana.

Computer engineering . Hawa kazi ya kubwa ni ku intergrate software na hardware viweze kufanya kazi kwa pamoja ili kufanya kazi fulani.
In computer engineering wamebase zaid kwenye electronics circuits ,design , implementation, repairs. Cirvuit tunazungumiza hapa ni zilr hardware za copyuta.

Utasona pia software lakin kwa mbali sana. Hautaenda deep maana hiyo sio scope ya hii course.
 
Hizi kozi zimafanana kisasi chake lakin ni tofauti.

Software engineering wamebase upande wa software. From designing, implementation to final application ya software.

Huku utasoma jinsi ya kutenegeneza software za aina zote na ufanyaji kazi wake. Kuna vitu vingi sana.

Computer engineering . Hawa kazi ya kubwa ni ku intergrate software na hardware viweze kufanya kazi kwa pamoja ili kufanya kazi fulani.
In computer engineering wamebase zaid kwenye electronics circuits ,design , implementation, repairs. Cirvuit tunazungumiza hapa ni zilr hardware za copyuta.

Utasona pia software lakin kwa mbali sana. Hautaenda deep maana hiyo sio scope ya hii course.
ok asante mkuu
 
Hizi kozi zimafanana kisasi chake lakin ni tofauti.

Software engineering wamebase upande wa software. From designing, implementation to final application ya software.

Huku utasoma jinsi ya kutenegeneza software za aina zote na ufanyaji kazi wake. Kuna vitu vingi sana.

Computer engineering . Hawa kazi ya kubwa ni ku intergrate software na hardware viweze kufanya kazi kwa pamoja ili kufanya kazi fulani.
In computer engineering wamebase zaid kwenye electronics circuits ,design , implementation, repairs. Cirvuit tunazungumiza hapa ni zilr hardware za copyuta.

Utasona pia software lakin kwa mbali sana. Hautaenda deep maana hiyo sio scope ya hii course.
Bahati mbaya computer engineers wengi wanaishia kutengeneza websites za wordpress...
 
Bahati mbaya computer engineers wengi wanaishia kutengeneza websites za wordpress...
Tena hao ni wavivu. Unatumia word press kutengeneza website. Tengeneza website from scratch andika vode mwanzo mwisho.

Ndio makampuni mengi yanataka mtu anae charaza code from scratch hafi vitu vitokee.
 
Hizi kozi zimafanana kisasi chake lakin ni tofauti.

Software engineering wamebase upande wa software. From designing, implementation to final application ya software.

Huku utasoma jinsi ya kutenegeneza software za aina zote na ufanyaji kazi wake. Kuna vitu vingi sana.

Computer engineering . Hawa kazi ya kubwa ni ku intergrate software na hardware viweze kufanya kazi kwa pamoja ili kufanya kazi fulani.
In computer engineering wamebase zaid kwenye electronics circuits ,design , implementation, repairs. Cirvuit tunazungumiza hapa ni zilr hardware za copyuta.

Utasona pia software lakin kwa mbali sana. Hautaenda deep maana hiyo sio scope ya hii course.
Haya maelezo yanajitoshelez kabisa kuonesha tofaut ya izo engineering
Ila kuhusu ajira, Software engineering ni bora zaid.
 
Haya maelezo yanajitoshelez kabisa kuonesha tofaut ya izo engineering
Ila kuhusu ajira, Software engineering ni bora zaid.
In my opinion CE ndio iko bora maana anajifunza software na hardware vyote kwa ujumla... Tatizo mfumo wetu bongo CE wengi wanafanya kazi za mtu wa IT wa kawaida...
 
Hizi kozi zimafanana kisasi chake lakin ni tofauti.

Software engineering wamebase upande wa software. From designing, implementation to final application ya software.

Huku utasoma jinsi ya kutenegeneza software za aina zote na ufanyaji kazi wake. Kuna vitu vingi sana.

Computer engineering . Hawa kazi ya kubwa ni ku intergrate software na hardware viweze kufanya kazi kwa pamoja ili kufanya kazi fulani.
In computer engineering wamebase zaid kwenye electronics circuits ,design , implementation, repairs. Cirvuit tunazungumiza hapa ni zilr hardware za copyuta.

Utasona pia software lakin kwa mbali sana. Hautaenda deep maana hiyo sio scope ya hii course.
Uko sahihi sana,hawa computer engineers husoma electronics, programming, network, automation and control system
 
Rejea kichwa cha mada
Tofauti kati ya hivi vitatu, ipi ni complicated? Vigezo vya kusomea, ipi inamfanya mtu awe skilled kwenye software, fursa ya ajira na mengineyo ambayo sijaorodhesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Computer science ina deal na theoretical part of computer kufafanua vizuri ni
Computer ina hardware na software
Computer science inadeal na intersection ya hardware na software

Information technology ina deal na kutumia software za computer kwa matumizi mbalimbali kama kustore information,kutuma data,kumanage systems kama za networks na security etc

Information system ni kama branch ya information technology inayodeal na systems tu kama system security,networking etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Computer science ina deal na theoretical part of computer kufafanua vizuri ni
Computer ina hardware na software
Computer science inadeal na intersection ya hardware na software

Information technology ina deal na kutumia software za computer kwa matumizi mbalimbali kama kustore information,kutuma data,kumanage systems kama za networks na security etc

Information system ni kama branch ya information technology inayodeal na systems tu kama system security,networking etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
After all, computer science and IT, kama utasoma chu, wa kwanza hakuna tofaut ya modules. Mwaka wa pili mnatofautiana, lakin not more than two modules eg, data structure, utaisoma sem ya kwanz kama utasoma, compt scienc.
Mwaka wa tatu sasa, kunatofauti, lakin utakayo soma kama compasory subject, as an IT, computer science anaoption nayo. Ingawa kuna compasory subject mtashare.
Inshort, there is no deffetence, as long as wat IT can do computer science can do too


Sent using Jamii Forums mobile app
 
After all, computer science and IT, kama utasoma chu, wa kwanza hakuna tofaut ya modules. Mwaka wa pili mnatofautiana, lakin not more than two modules eg, data structure, utaisoma sem ya kwanz kama utasoma, compt scienc.
Mwaka wa tatu sasa, kunatofauti, lakin utakayo soma kama compasory subject, as an IT, computer science anaoption nayo. Ingawa kuna compasory subject mtashare.
Inshort, there is no deffetence, as long as wat IT can do computer science can do too


Sent using Jamii Forums mobile app

Asante kwa reply

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom