Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,116
- 2,490
Wanajamii poleni na msiba wa taifa...
Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara.
Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za kupaka wanaisha baada ya mida wanarudi tena.
Nimegundua hili tatizo lipo ndani ya mwili inahitajika dawa ya kunywa na kupaka.
Nimechoshwa na matumizi ya dawa mara kwa mara, nahitaji tiba ya kutatua tatizo lisirudi tena. Kwa anaefahamu dawa itakayonisaidia tafadhali naomba msaada.
NB : Ngozi yangu ni ya mafuta.
Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara.
Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za kupaka wanaisha baada ya mida wanarudi tena.
Nimegundua hili tatizo lipo ndani ya mwili inahitajika dawa ya kunywa na kupaka.
Nimechoshwa na matumizi ya dawa mara kwa mara, nahitaji tiba ya kutatua tatizo lisirudi tena. Kwa anaefahamu dawa itakayonisaidia tafadhali naomba msaada.
NB : Ngozi yangu ni ya mafuta.