stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,842
- 22,960
Ok,lakini hiyo aliyoonyesha hapo ni cream,nayo ni vipi...?Ketoconazole ina side effect mbaya sana..Orally taken.
✓Kwa wanaume inasababisha testosterone kupungua..kwa hiyo inashusha sana nguvu za kiume na kusababisha uhanithi(impotence)..(Anti-androgenic)
✓Kwa wanawake pia inaleta shida kwenye ovaries..kwahiyo uzazi utakuwa wa shida.
✓Inasababisha upara.
✓Inasababisha adrenal gland kushindwa kuzalisha hormone zake kama ilivyozoeleka.
Hii dawa itatumika tu pale faida zitakapozi over-weigh hasara..
Though,shampoo na cream yake ni nzuri na haina shida sana kama ya kumeza.