Ipi simu nzuri kati ya Xiaomi vs Tecno vs Infinix

Hutajutia kuchukua Xiaomi. Nimekuwa fan wa samsung note kwa muda mrefu kidogo. Note yangu ya mwisho ilipo pasuka kioo, nilinunua simu mpya lakini kipindi hichi nilichukua Xiaomi Mi A3.

Aisee hii simu ni balaaa... Kuanzia camera, inavyokaa chaji na performance. Huwa natumia sana internet, kwahyo data kilaa saa iko on. Na mara nyingi huwa naingia kwenye browser kusearch vtu na kudownload files tofauti tofauti n.k

Lakini kama hii screenshot hapa chini, cmu inakatiza siku 1 na masaa 12 bado iko 14% since last time nimecharge to 100%.
Screenshot_20200219-224114.png


Hapo ilipopanda kdogo, nilikua nacopy mafile kutoka kwenye PC kwa muda kama 7 minutes. Hii picha nyengine hapa inaonesha matumizia ya data kwa mwezi wa dec,2019 mpaka jan,2020.

Screenshot_20200219-225113~2.png


Kwenye camera, hizi ni baadhi ya picha nilizowahi piga kutumia hii simu.
IMG_20191012_202745~2.jpg


IMG_20191023_192302.jpg


IMG_20191014_155435.jpg


IMG_20191023_183743.jpg


Xiaomi wanatengeneza simu quality sana. Sidhan kama utaweza ilinganisha na tecno a.k.a infinix kwa kipindi hiki.

Phone: Xiaomi Mi A3
 
Hutajutia kuchukua Xiaomi. Nimekuwa fan wa samsung note kwa muda mrefu kidogo. Note yangu ya mwisho ilipo pasuka kioo, nilinunua simu mpya lakini kipindi hichi nilichukua Xiaomi Mi A3.

Aisee hii simu ni balaaa... Kuanzia camera, inavyokaa chaji na performance. Huwa natumia sana internet, kwahyo data kilaa saa iko on. Na mara nyingi huwa naingia kwenye browser kusearch vtu na kudownload files tofauti tofauti n.k

Lakini kama hii screenshot hapa chini, cmu inakatiza siku 1 na masaa 12 bado iko 14% since last time nimecharge to 100%.
View attachment 1363467

Hapo ilipopanda kdogo, nilikua nacopy mafile kutoka kwenye PC kwa muda kama 7 minutes. Hii picha nyengine hapa inaonesha matumizia ya data kwa mwezi wa dec,2019 mpaka jan,2020.

View attachment 1363494

Kwenye camera, hizi ni baadhi ya picha nilizowahi piga kutumia hii simu.
View attachment 1363504

View attachment 1363505

View attachment 1363507

View attachment 1363509

Xiaomi wanatengeneza simu quality sana. Sidhan kama utaweza ilinganisha na tecno a.k.a infinix kwa kipindi hiki.

Phone: Xiaomi Mi A3
hii kwa tz ni bei gani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii simu ni bei gani mkuu?
Hutajutia kuchukua Xiaomi. Nimekuwa fan wa samsung note kwa muda mrefu kidogo. Note yangu ya mwisho ilipo pasuka kioo, nilinunua simu mpya lakini kipindi hichi nilichukua Xiaomi Mi A3.

Aisee hii simu ni balaaa... Kuanzia camera, inavyokaa chaji na performance. Huwa natumia sana internet, kwahyo data kilaa saa iko on. Na mara nyingi huwa naingia kwenye browser kusearch vtu na kudownload files tofauti tofauti n.k

Lakini kama hii screenshot hapa chini, cmu inakatiza siku 1 na masaa 12 bado iko 14% since last time nimecharge to 100%.
View attachment 1363467

Hapo ilipopanda kdogo, nilikua nacopy mafile kutoka kwenye PC kwa muda kama 7 minutes. Hii picha nyengine hapa inaonesha matumizia ya data kwa mwezi wa dec,2019 mpaka jan,2020.

View attachment 1363494

Kwenye camera, hizi ni baadhi ya picha nilizowahi piga kutumia hii simu.
View attachment 1363504

View attachment 1363505

View attachment 1363507

View attachment 1363509

Xiaomi wanatengeneza simu quality sana. Sidhan kama utaweza ilinganisha na tecno a.k.a infinix kwa kipindi hiki.

Phone: Xiaomi Mi A3
 
Back
Top Bottom