Habari wakuu wa nyumba. Mimi ni mpenzi na mtumiaji wa free to air channels kwenye madishi makubwa. Kwasasa natumia tiger T245+ pro ambayo nataka kuupdate kupanda kidogo kwani hii nataka kuihamisha. Sasa naomba mawazo ni ipi receiver Bora na ya kisasa kwa sasa. Asante
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
