Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,269
- 33,872
Wakati fulani hapa JF watu husema kusoma si kuelimika, hivi tofauti ya Elimu na usomi ni nini. Unawezaje kutofautisha msomi ambaye hajaelimika na mtu aliyeelimika lakini ambaye si msomi?
Inabidi niende huko niitwe MsomiEasy!
Ccm wengi ni wasomi ila hawajaelimika mfano mzuri Palamagambaí ½í¸
Tofauti yake ni nini, hebu tufafanulie.Never confuse EDUCATION with INTELLIGENCE