Mmezungumzia siredi bomba mi nakuja kuwauliza ile iliyoboa zaidi,najua hapa kutakua na ugumu usiogope taja tu!Hakuna atakae kughadafi!!Mi yangu nitataja mwisho wa siredi hii usiku wa kuamkia mwaka mpya!
Ile thread ya Invisible juu ya Shimbo kuweka shs trillion 3 Afrika Kusini. Iliniuma sana baada ya kugundua kuwa ni uzushi na unafiki mkubwa. Hakuna cha trillion 3 wala nini.
Ile thread ya Invisible juu ya Shimbo kuweka shs trillion 3 Afrika Kusini. Iliniuma sana baada ya kugundua kuwa ni uzushi na unafiki mkubwa. Hakuna cha trillion 3 wala nini.
Thread ile ya watoto ambao wapo abused (kulawitiwa),
Thread ya habari ya Gaddaffi ilokua inaonesha picha
walivoomuingiza chuma sehemu za siri,NA Thread ilonizushia kifo....
(Sikuiona BUT ile tu habari ilini BOA na KUNIUMIZA!
Thread ile ya watoto ambao wapo abused (kulawitiwa),
Thread ya habari ya Gaddaffi ilokua inaonesha picha
walivoomuingiza chuma sehemu za siri,NA Thread ilonizushia kifo....
(Sikuiona BUT ile tu habari ilini BOA na KUNIUMIZA!
Thread ile ya watoto ambao wapo abused (kulawitiwa),
Thread ya habari ya Gaddaffi ilokua inaonesha picha
walivoomuingiza chuma sehemu za siri,NA Thread ilonizushia kifo....
(Sikuiona BUT ile tu habari ilini BOA na KUNIUMIZA!
Ile thread ya Invisible juu ya Shimbo kuweka shs trillion 3 Afrika Kusini. Iliniuma sana baada ya kugundua kuwa ni uzushi na unafiki mkubwa. Hakuna cha trillion 3 wala nini.
Heri yako we ambae hukuiona ile thread ya kuzushiwa kifo!!
Ilinidisturb sana as nilibaki njia panda........NIAMINI au NISIAMINIi?? ( I hate even portray this)!!!
Thread ya Kaizer yenyewe nilichelewa kuiona coz kule huwa sitembelei mara kwa mara!!
Huo mchezo mchafu.........na unaboa to the maximum, let alone the way alivokuwa ameandika mwenyewe!!!