Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 486
kwa bei za tecno N3 na P3 zote zipo sawa. kwa perfomance P3 ni dualcore ila wamesahau kuboresha betri hivyo huisha chargi haraka. N3 inadumu sana charge kuliko smartphone nyingi.
unapotaka kununua simu ya android mkuu angalia zaidi RAM NA ROM. na atleast iwe na android 4 kwa sasa.
mtu asikudanganye. karibu zote vifaa vya ndani yaani chipset yake watengenezaji ni wawili tu. mediatek na qualcomm.
usihadaiwe na gamba la nje samsung, htc, etc
hawa tecno wanatengeza simu za chipset zote mbili za mediatek na qualcomm.
ila mie nakushauri uangalia XTOUCH 405 kama bajeti yako ni ya P3 na N3,
X405_Xtouch | touch the world
unapotaka kununua simu ya android mkuu angalia zaidi RAM NA ROM. na atleast iwe na android 4 kwa sasa.
mtu asikudanganye. karibu zote vifaa vya ndani yaani chipset yake watengenezaji ni wawili tu. mediatek na qualcomm.
usihadaiwe na gamba la nje samsung, htc, etc
hawa tecno wanatengeza simu za chipset zote mbili za mediatek na qualcomm.
ila mie nakushauri uangalia XTOUCH 405 kama bajeti yako ni ya P3 na N3,
X405_Xtouch | touch the world