Ipi ni simu bora tecno p3 vs tecno n3

Ipi ni simu bora tecno p3 vs tecno n3

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,862
Ipi ni simu nzuri kati ya tecno p3 na n3 ubora na kimatumizi.
 
Tafuta samsung mkuu...hao wote ni chenga tu!!
 
Chukua N3 ni nzuri zaidi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Tafuta samsung mkuu...hao wote ni chenga tu!!

Mkuu umelielewa swal lake vizur..? Wee unadhan hajui kuwa kuna Samsung..?

Chukua P3, ni nzur kwa kuanzia, Naamin baada ya muda, utarud kuuliza bei za Samsung na nyinginezo.
 
p3 itakusumbua bettery,infact p3 ni maboresho ya n3 lakini wakasaau kuboresha battery capacity ni ileile 1400mAh
 
p3 ni nzuri kwani ina front camera kuhusu betri inategemea matumizi yako hasa ukitumia internet mimi nilianza na n3 na saaa natumia p3 sijaona tofauti katika matumizi ya betri.
 
naona kuna mkakati maalum wa ku promote Tecno hapa JF. Ukweli unabaki kuwa ni simu feki kama zingine hata kama zinashika neti. ni vyema zingejadiliwa kwenye blogu ya full shangwe au Gospel kitaa
 
Kama una bajeti ya 150 tafuta tecno l3 hii ni jelly bean 4.1, ram 512, cpu ni 1ghz na memo ya 8gb pamoja na 2gb unazozikuta na kikubwa kuliko vyote ni uwezo mkubwa wa kukaa na chaji hii ni 2100amh! Tatizo lake ni ubora wa camera tu yenyewe ni 3mega
 
We bwana chukua Tecno Phantom A+...hutojuta milele
 
Samahani naomba mnifahamishe namna ya ku end application ambazo zipo online maana betr inalika sana wakuu naumia TECNO N3.
 
Kama una bajeti ya 150 tafuta tecno l3 hii ni jelly bean 4.1, ram 512, cpu ni 1ghz na memo ya 8gb pamoja na 2gb unazozikuta na kikubwa kuliko vyote ni uwezo mkubwa wa kukaa na chaji hii ni 2100amh! Tatizo lake ni ubora wa camera tu yenyewe ni 3mega

kweli mchina kiboko!!
 
Back
Top Bottom