Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
Kuna wengine kazi wanasema ni muhimu sana, kuna wengine wanasema familia ni muhimu sana, la mwisho vyote(familia &kazi) ni muhimu. Sasa kama mtu ambaye ameweka kazi kipaumbele zaidi kuliko familia anafaidika nini maishani mwake?