Ipi ladha ya tendo la ndoa?

Ipi ladha ya tendo la ndoa?

Nahisi ww ni mwanamke,
Asilimia 90 ya wanawake duniani kote hawaijui raha ya tendo la ndoa (kupizi/kukojoa)

Wengine wana watoto hata wanne lakini anakwambia hajawahi kusikia chochote,

Wengi hua wanafake tu.
Inasikitisha sana kwa kweli.

Nitafute nikuunganishe na wenzio watakupa ushauri wa nini cha kufanya.
Very True
 
Ila kweli jamani asilimia kubwa ya wanawake wengi hawapati raha ya tendo, mm nahisi kabla ya kuolewa kwenye zioe kitchen party zao wawe wanafundishw mbinu za kufika
 
Nina uwezo wa kukuandaa na kuhakikisha unafurahia tendo hilo ila naogopa utaning'ang'ania maana huo utaalam ninao ila umehifadhiwa kwa ajili ya mke wangu tu.
Siwezi andika hapa.
Ila unakosa uhondo saana.
Hakuna maneno sahihi.
 
Mwambie mr. akuandae vzuri nauhakika mwanamke yeyote ambae hajawahi kufika kilelen akimpata fundi mzuri wakuzama chumvni plus katerero lazma amwage kojo
 
Maumivu wakati wa tendo kivp unapata Kwa Ndani au nje?hilo lijue kwanza yawezekana unainfection katika via vya uzazi au yawezekana hakuna foreplay yale maandalizi ya awali ili uweze kuwa wet enough kubwa Kabisa kutoa hivo vinogesho sijui mauno nk mapenzi ni hisia huyo uliyenae unamfeel Kama alikukwaza msamehe uwe huru ukido nae akili iwepo pale utafurahi hata Kama unamadeni sahau kwa muda ule kufanya unawaza matatzo huwezi kufika
 
Pia zile sehemu unazopenda kushikwa ukapata msisimko mwambie napenda hivi napenda vile yeye sio malaika ajue kuwa unapenda vitu fulani bila kumjuza vingne unamfanyia vitendo kama huwezi kusema ukamshikisha nyonyo atajua kumbe anapenda basi atafanya hivyo Raha inatafutwa usitegemee ukae tu yeye akupe hapana uwajibike kuitafuta pia hakika utaenjoy mbinu za kuongeza ujuzi
 
Back
Top Bottom