Siyo waliokeketwa tu hili ni janga la kitaifa hasa kwa jinsia ya ke!
Wanawake tunaelewa nahisi ww ni me! So tuache kama ilivyo!Amna kitu kama icho,mwanamke ambae ajakeketwa huanza kupata raha ya tendo la ndoa pale anapoanza kutokwa na ute,ila aliekeketwa huo ute hana.
Mkuu hebu nitake radhi kwanza,Ukifuata huu ushauri utajuta. Nasikia harufu ya kusagana kwenye huu ushauri
Wanawake tunaelewa nahisi ww ni me! So tuache kama ilivyo!
Nimekuelewa kJFMkuu hebu nitake radhi kwanza,
Mama wa watoto wawili hapa with a very handsome man.
Usikurupuke kama kichaa.
Hao wanaolia kama bata na tumbili wametishaaaaa,ushawahi kuwa na kiu ukanywa maji, je unapata raha gani
kuna vitu ni vigumu kusimulia, maana wengine hulia kama bata, tumbili, huchana godoro na kumkaba mwenzake zote raha tu.
lakini hizi raha ni kwa wateule wachache wengine mtapata raha dunia ijayo.
Ni mawazo yako yaheshimiwe mkuu!Bila shaka wewe ni mmoja wa ambao wamepitiwa na kisu. Hila uku kwingine wapo wanaofurahia sana.
Siyo hila ni ila,siyo uku ni huku!siku njema man!Bila shaka wewe ni mmoja wa ambao wamepitiwa na kisu. Hila uku kwingine wapo wanaofurahia sana.