GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Acha kuni tag tag upuuzi wako we mwanamke
Siku zote ' Mapopoma ' ni lazima ' mtagiwe ' tu.
Acha kuni tag tag upuuzi wako we mwanamke
Pole kumbe unakiwango kikubwa hivo cha uhopuless,I am self made' aliyekutapika ' Kibaiolojia Leba.
Bora Mimi Kichwa changu Kikubwa kimejaa Makamasi ila Wewe ' Mbichwa ' wako huo Mkubwa kama Kende / Pumbu za Kifaru umejaa tu ' Makohozi ' tupu.
Pole kumbe unakiwango kikubwa hivo cha uhopuless,I am self made
Hatari sana, hadi kifaru tena!! Teh teh, unapenda sifa sana mkuu.
Ok,achana na mimi we mwanamke...sikutakiSiku zote ' Mapopoma ' ni lazima ' mtagiwe ' tu.
Ok,achana na mimi we mwanamke...sikutaki
hujalala bado?Acha kusinzia nenda kalale mmeo asije kukuonaHopeless of all the time!
Mkuu biashara ulizosuggest ni kutafutia hela ya mboga ebu sema mkoa uliopo tukupe biashara za kutokea badae uche na kazi uwe mwajiri sio mwajiriwa. Suala la risk hakuna biashara isiyo na risk mzee kuna watu wanafungua mighahawa lakini inakufa pia so every business has it's own risk ndio maana makampuni yaanajiri ma risk managers So ebu taja mkoa uliopo tuone kama tunaweza tuka come up na more best ideas ili 2019 upige pesa mkuuWadau,
Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.
Ushauri wenu tafadhali
Fungua mgahawa lakini uhakikishe vigezo na masharti vinazingatiwa. Pia ukumbuke usafi, bei ambayo wenyeji wa eneo hilo wata afford, vyakula vyenye ladha, nakushauri uweke vyakula vya mchemsho usiweke mafuta maana wateja wengi siku hizi hawahusudu kula mafuta mengi, ukarimu, unadhifu wa wahudumu, eneo la jikoni liwe safi muda wote. Mwisho jitahidi uwe wa kwanza kufungua biashara yako asubuhi sana na uwe wa mwisho kufunga usiku
Ukumbuke na mambo ya faragha (siri) za wateja wako, sio mtu kapita hapo na mke au mume wa mtu kamnunulia ki juice halafu mnamtangaza!!!
We kwenda tuFungua mgahawa lakini uhakikishe vigezo na masharti vinazingatiwa. Pia ukumbuke usafi, bei ambayo wenyeji wa eneo hilo wata afford, vyakula vyenye ladha, nakushauri uweke vyakula vya mchemsho usiweke mafuta maana wateja wengi siku hizi hawahusudu kula mafuta mengi, ukarimu, unadhifu wa wahudumu, eneo la jikoni liwe safi muda wote. Mwisho jitahidi uwe wa kwanza kufungua biashara yako asubuhi sana na uwe wa mwisho kufunga usiku
Ukumbuke na mambo ya faragha (siri) za wateja wako, sio mtu kapita hapo na mke au mume wa mtu kamnunulia ki juice halafu mnamtangaza!!!
Ndo nini sasa na wewe umeandika hapa, we wa NYEGEzi nini?pesa na papuchi
Kamanda ulisha fungua hiyo restaurant ?Restaurant inalipa sana, nlienda pemba nkachukua watoto wawil wa kike yan mapish yao ni hatar. Saiv nafungua nyingine tena kinyerez nafkir ushaelewa hapo nini napata
Mgodini wapi na huo Mtungi unuzwaje?Mpaka hapo utakuwa ushajua nn cha kufanya cheza na mazingira tuu sasa.
Ungekuwa huku mgodini ungenunua mtungi wa kusaga mawe kwa miez 6 hukosi mil 10 hadi 20 kutegemeana ba bidii yako
Mkuu heshima yako, unadhani biashara hii itahitaji mtraji kiasi gani?Biashara zote hizo ni nzuri sana na zina faida sana tu ila kinachohitajika ni location nzuri na uwezo wa kukabiliana na changamoto. Kingine labda nikupe nyongeza ,, biashara nyingne inayolipa vzr kbs ni biashara ya vinywaji vya jumla (pombe, soda, maji etc)
Mil 8 Na engine.Mgodini wapi na huo Mtungi unuzwaje?