Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau naomba Ushauri wenu.Baada ya kumaliza Chuo na kukosa Ajira nimeamua kujiajiri kama Wenye Nchi wanavyoshauri.
Nataka KUFUNGUA biashara ya MPESA.
Ninachokiomba kwenu ni kujua MTAJI sahihi kwenye Mitandao yaani MPESA,TIGO PESA na AIRTEL MONEY
Pia Naomba kujua ni BIASHARA gani naweza KUICHANGANYA na hiyo MPESA
SHUKURANI kwenu Nasubiri Ushauri wenu.
Nataka KUFUNGUA biashara ya MPESA.
Ninachokiomba kwenu ni kujua MTAJI sahihi kwenye Mitandao yaani MPESA,TIGO PESA na AIRTEL MONEY
Pia Naomba kujua ni BIASHARA gani naweza KUICHANGANYA na hiyo MPESA
SHUKURANI kwenu Nasubiri Ushauri wenu.