Ipi ilikuvutia enzi hizo?

Ipi ilikuvutia enzi hizo?

Utaniambia nn mbele ya hzo apo ww utakuta wk end ndo mnaruhusuwa kuangalia Tv bac mnajikusanya watt karib mtaa mzima ikiisha hii mnaweka hii hahahha

ushawahi kukutana na changamoto za deki chafu, au kuna kipande mkanda hauonyeshi...
 
Mimi nilikuwa najua jina la staa wa filamu na sura yake basi,sababu kuiona picha yenyewe ilikuwa mpaka kwa jirani na siku hiyo awe amefurahi!!!!!

kipindi hiko tv mtaani zinahesabika
 
Mimi nawakumbuka Billy Blanks, Jeff Wincot, Mathias Huess, Jalal Merhi, Michael Dudichof, Cynthia Rothrock dah list ndefu. Hao wataalam wa movies za martial arts za miaka ya 90 walikuwa wananikosha sana.

kumbukumbu zako ziko vizuri mkuu
 
Enzi hiyo picha kama war bas niliiyonaga kwenye mabanda ya video ukitoa shilling 30 unaangalia picha kama tatu.

ukute picha imetafsiriwa na lufufu...we achaa
 
picha za zamani ni za zamani tu hizo sasa hivi siziangalii nipo na James bond na kama hizo eti mtu mmoja anaua watu mia
shenzz kabisa eti ndio komando kipensi nachukia nilikuwa nadanganywa

mambo ya mission za vietnam anatumwa mtu mmoja anaenda kupambana na jeshi zima
 
images
me nilivutiwa sana na hii
 
anaejua dvd ya wanyama iliyotafsiriwa kiswahili, tafadhali
 
Back
Top Bottom