Msaada kuhusu iPhone 7+
Kwa anaejua iPhone vyema ,simu yangu ina 250gb,tatizo langu ni kwamba nikisave chochote chenye ukubwa wa mb kwenye simu kinachukua space Kama GB. Kama kuna mwenye kujua nn cha kufanya ili iweze kusave Kama mb. Naimani nimeeleweka. Naombeni Masada tafadha
Kwa anaejua iPhone vyema ,simu yangu ina 250gb,tatizo langu ni kwamba nikisave chochote chenye ukubwa wa mb kwenye simu kinachukua space Kama GB. Kama kuna mwenye kujua nn cha kufanya ili iweze kusave Kama mb. Naimani nimeeleweka. Naombeni Masada tafadha