Iphone 5s imeji-zoom nawezaje kuitoa?

Iphone 5s imeji-zoom nawezaje kuitoa?

Public Enemy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,620
image.jpg Habari ya mchana ndugu zanguni?
Kuna iphone 5s hapa ya dada yangu katika kuichezeachezea kaizoom sasa anashindwa kufanya lolote, nimeikonekti itunes lakini inasema mpaka aingize passcode alizoweka na passcode hawezi kuingiza kwasababu imejizoom. Je kuna namna ya kufanya hapo? Ama kuirestore inakuwaje?
 
Public Enemy pole sana ni kazi ndogo sana weka vidole vyako vitatu kwenye screen kwa pamoja nayo zoo itatoka baadaye uende SETTING-GENERAL-ACCESSIBILITY-ZOOM na unaweka OFF hiyo ZOOM. NA HAPO IPHONE 5s itakuwa kama zamani.
View attachment 263335Habari ya mchana ndugu zanguni?
Kuna iphone 5s hapa ya dada yangu katika kuichezeachezea kaizoom sasa anashindwa kufanya lolote, nimeikonekti itunes lakini inasema mpaka aingize passcode alizoweka na passcode hawezi kuingiza kwasababu imejizoom. Je kuna namna ya kufanya hapo? Ama kuirestore inakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo hali ilishanitokea ila nimesahau jinsi ya kuirudisha. Ipo ndani ya settings...

Mpaka ilipofikia ni screen mbili tu zina appear ya Iphone is disabled connect to itunes na Ya emergency calls tu na sasa nime connect itunes lakini inasema Itunes can`t connect it. Nimeganda nawaza na kuwazua njia mbadala.
 
Mpaka ilipofikia ni screen mbili tu zina appear ya Iphone is disabled connect to itunes na Ya emergency calls tu na sasa nime connect itunes lakini inasema Itunes can`t connect it. Nimeganda nawaza na kuwazua njia mbadala.

Kwa sasa hivi wewe unatumia itune version gani????kama ni ya zamani lazima U-download new version nijulishe utakapofikia.
 
Kitu kidogo saaana hcho hata mm kilikuwa kinantoa jasho kwenye simu yangu,ila kutokana na utundu wangu nikajikuta mzungu kanizidi akili kwa kitu kidooooogo sana na naweza ku I zoom na kuitoa kwa sekunde tu,hata nikikutajia utajikuta nawewe mjinga kwa mzungu,ila kwa kuwa solved problem basi bro
 
Ndugu bado kuna shida pamoja na kwamba shida ya kwanza imekuwa solved ipo nyingine msaidie na wewe
Kitu kidogo saaana hcho hata mm kilikuwa kinantoa jasho kwenye simu yangu,ila kutokana na utundu wangu nikajikuta mzungu kanizidi akili kwa kitu kidooooogo sana na naweza ku I zoom na kuitoa kwa sekunde tu,hata nikikutajia utajikuta nawewe mjinga kwa mzungu,ila kwa kuwa solved problem basi bro
 
Kwa sasa hivi wewe unatumia itune version gani????kama ni ya zamani lazima U-download new version nijulishe utakapofikia.

Bado tatizo lipo mkuu, sijafanikiwa chochote mpaka sasa Natumia itunes 12.1.2.27 mkuu, nikikonekti inagoma na inasenma Itunes can`t connect. Sasa nashindwa namna ya kuikonekt itunes ilete ku restore. nadhani sababu ya passcode, hapo nafanyaje?
 
Back
Top Bottom