Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 344
- 165
- Thread starter
- #21
Tafuta charger original , pale mjini kati ya extelecom na sanamu ya askari kuna chager original , nunua waya na plague yake , isipochage utapata shida kupata fundi mwenye uwezo anaezijua Iphone kwani itakua imeua 'power ice' kutokana na charger mbovu.
Duh niko mbali sana na hiyo mitaa kwa vile kunajamaa yangu hapo mjini nitamwelekeza afike mitaa hiyo kwa ajili ya kunitafutia