Iphone 5 imebuma

Iphone 5 imebuma

Tafuta charger original , pale mjini kati ya extelecom na sanamu ya askari kuna chager original , nunua waya na plague yake , isipochage utapata shida kupata fundi mwenye uwezo anaezijua Iphone kwani itakua imeua 'power ice' kutokana na charger mbovu.

Duh niko mbali sana na hiyo mitaa kwa vile kunajamaa yangu hapo mjini nitamwelekeza afike mitaa hiyo kwa ajili ya kunitafutia
 
Tatizo haifiki huku imegoma kuchaji tokea juzi kama picha inavyo onyesha

Jaribu kutafuta chaja ya hiyo simu kama haitochaji ujue kuwa battery imekufa, battery ikishakufa simu haitochaji zaidi ya kuonyesha battery iliyoanza kuchajiwa lakini hutaona progress yoyote ya kuingia chaji kwenye simu.
 
Kaka/dada, toa batter uibust au chargi na kobe, itakuwa ok.
 
Kaka/dada, toa batter uibust au chargi na kobe, itakuwa ok.
nimeshatoa bettery ndiyo kama hii nachomekaje kwenye kobe nionyeshe kwenye hizo picha
 

Attachments

  • 1441520944710.jpg
    1441520944710.jpg
    27.7 KB · Views: 63
  • 1441521019152.jpg
    1441521019152.jpg
    24.4 KB · Views: 58
  • 1441521081650.jpg
    1441521081650.jpg
    37.2 KB · Views: 57
Jaribu kutafuta chaja ya hiyo simu kama haitochaji ujue kuwa battery imekufa, battery ikishakufa simu haitochaji zaidi ya kuonyesha battery iliyoanza kuchajiwa lakini hutaona progress yoyote ya kuingia chaji kwenye simu.

nimejaribu kutoa bettery nikachomeka chaja alafu nikaweka battery ikawaka tokea usiku hadi saivi iko asilimia 1 nimechoa tu chaji ikazima ndo nafanya mpango saivi wa kutafuta chaja og huku nikitafuta na kobe ni boost hii battery
 
Sikiliza,nenda na batery wanakocharg simu,wape waambie wakubustie alafu waicharge,narudia batter tuu
 
Sikiliza,nenda na batery wanakocharg simu,wape waambie wakubustie alafu waicharge,narudia batter tuu

hapo anachomekaje hili ku boost bettery picha ndiyo hiyo hapo
 

Attachments

  • 1441522596052.jpg
    1441522596052.jpg
    33.9 KB · Views: 45
Duh niko mbali sana na hiyo mitaa kwa vile kunajamaa yangu hapo mjini nitamwelekeza afike mitaa hiyo kwa ajili ya kunitafutia

068 445 9109 ongea na huyu fundi umuelekeze tatizo lako.
Kama anajua jinsi ya kukusaidia, itume hiyo simu kuja Dar kwa ndugu yako akupelekee kwa huyo fundi, akishaitengeneza unamlipa then huyo ndugu yako anakutumia kurudi huko serengeti.
 
068 445 9109 ongea na huyu fundi umuelekeze tatizo lako.
Kama anajua jinsi ya kukusaidia, itume hiyo simu kuja Dar kwa ndugu yako akupelekee kwa huyo fundi, akishaitengeneza unamlipa then huyo ndugu yako anakutumia kurudi huko serengeti.

sawa ndugu ngoja nifanye taratibu nitakupa majibu itakavyo kuwa
 
Sidhani kama battery au charger inahusika hapo, iliwahi kunitokea na solution ilikuwa ku hold Home button na power button at once au (unaanza power button then in a split second press home button) kwa muda. Iliwaka na inaendelea mpk leo
 
Sidhani kama battery au charger inahusika hapo, iliwahi kunitokea na solution ilikuwa ku hold Home button na power button at once au (unaanza power button then in a split second press home button) kwa muda. Iliwaka na inaendelea mpk leo

hii nimeshafanya sana lakini tatizo bado pale pale
 
Hlo Tatiz Lilsha Wah Nikuta Nilinunua Chaja Mpya Ya Ina Sehm Ya Android Na Ios Elf 25 Haikusumbua Tena Badil Chaj Mkuu
 
Kama Uko Serenget Si Uagz Chaj Arusha Tata Mbona Unawasiwas Ama Nenda Musoma Uliza Kwa Husen Sokn Hop Anaweza Saidia Hko Unacho Fanya Cha Kujitia Ufund Wa Kufungua Na Kuchaj Hapo Simu Yako Ina Taka Kukata Roho #tafufa-fundi-wakuaminika
 
Back
Top Bottom