VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 583
HA HA HA hiyo ndiyo simu gani? natumia latest APPLE zote unazozijua wewe, na huu ni mwaka wa sita sasa natumia apple, nitanunua vipi USED iPhone 5 wakati wanatumi 5s 64GB, sio kila mtu humu yuko bongo HAHAHAHAHAUmasikini n mbaya sana..
Mkuu inaelekea hauna ela alafu unatumia tecno ndo maana unatoa povu sana.!
Nachojua mimi MASIKINI UPENDA kuipata watu masikini, ujamchunguza mtu kujua uchumi wake unaibuka na matusi, DAH