iPhone 5 for sale (590,000)

iPhone 5 for sale (590,000)

Mnandi

Senior Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
156
Reaction score
28
iPhone 5 for sale, IOS 7, 16GB Capacity, Black, Factory Unlocked..
0716-904626, 0767-174757, Arusha..no charger.

25gv0h2.jpg
huk6x4.jpg


Package Includes:
1 iPhone
1 Set Screen Protector
 
iPhone 5 for sale, IOS 7, 16GB Capacity, Black, Factory Unlocked..
0716-904626, 0767-174757, Arusha..no charger.

Mhhh - Tatizo!!!!!!
 
Amekwapuliwa mtu hiyo. Ndio maana mnaambiwa kupandisha vioo vya gari wakati ukiongea na simu.
i hope note, maana find my phone haitoki kwenye IOS 7, lakini pia hizi smart phone sio ya kununua kwa kuaminiana tu mtu, unaweza juta
 
iPhone 5 for sale, IOS 7, 16GB Capacity, Black, Factory Unlocked..
0716-904626, 0767-174757, Arusha..no charger.

Mhhh - Tatizo!!!!!!
Una ushahidi wowote wa manunuzi ya hiyo simu? taarifa tafadhali
Amekwapuliwa mtu hiyo. Ndio maana mnaambiwa kupandisha vioo vya gari wakati ukiongea na simu.

Charger ipo ila imeungua bana na hii simu ni yangu haikuibiwa ndio maana haina iCloud lock. Au nikuuzie na charger iliyoungua? Nina iPhone 5S ndio maana nauza hii kwa bei hiyo. Otherwise kama unaona 590,000/= ni bei ndogo sana nipe 650,000/=. Ukihitaji kuiona tuwasiliane..


3531ann.jpg
 
16GB unauza 590 and ikiwa 36GB utauzaje sasa tena bila charger ?Hauko serious wewe hiyo upewe 390,charger nitanunua mwenyewe
 
16GB unauza 590 and ikiwa 36GB utauzaje sasa tena bila charger ?Hauko serious wewe hiyo upewe 390,charger nitanunua mwenyewe
wenzako wanasema 590k bei ndogo, wewe huko ulipotokea unakuja na bei yako ya 390k..nishapandisha bei mpaka 650k, nakununulia na charger mpya!
 
Hivi kwann bei ya iphone huwa haishuki fasta kama samsung?
 
Charger ipo ila imeungua bana na hii simu ni yangu haikuibiwa ndio maana haina iCloud lock. Au nikuuzie na charger iliyoungua? Nina iPhone 5S ndio maana nauza hii kwa bei hiyo. Otherwise kama unaona 590,000/= ni bei ndogo sana nipe 650,000/=. Ukihitaji kuiona tuwasiliane..


3531ann.jpg

Mkuu hiyo sio ORGINAL charger ya iPhone 5 hata kama imeungua, charger yake ni hiyo hapo kwenye pic niliyoweka, nadhani simu yako inaweza kuwa sana na charge yake, then sio GENUINE apple product
IMG_2782.jpg
 
wenzako wanasema 590k bei ndogo, wewe huko ulipotokea unakuja na bei yako ya 390k..nishapandisha bei mpaka 650k, nakununulia na charger mpya!

16GB unauza 590 and ikiwa 36GB utauzaje sasa tena bila charger ?Hauko serious wewe hiyo upewe 390,charger nitanunua mwenyewe

Nakubaliana na wewe 590k ni bei ndogo kwa iphone 5 [ kama ni ya APPLE kweli na sio ya MCHINA ]
watu wanachanganya na bei za kichina
 
Hivi kwann bei ya iphone huwa haishuki fasta kama samsung?
Hiyo ni market strategic yao, bila kufanya hivyo wangekufa kama BB, wanajaribu kupenda kwa soko la chini pia kwa kutumia hiyo njia ya pricing
 
Mkuu hiyo sio ORGINAL charger ya iPhone 5 hata kama imeungua, charger yake ni hiyo hapo kwenye pic niliyoweka, nadhani simu yako inaweza kuwa sana na charge yake, then sio GENUINE apple product
View attachment 164394

acha ushamba wewe, plugs zinatofutiana kuna za UK, US n.k hiyo uliyoweka wewe ni ya UK
 
Back
Top Bottom