iPhone 5 for sale (590,000)

iPhone 5 for sale (590,000)

Mkuu hiyo sio ORGINAL charger ya iPhone 5 hata kama imeungua, charger yake ni hiyo hapo kwenye pic niliyoweka, nadhani simu yako inaweza kuwa sana na charge yake, then sio GENUINE apple product
ndio matatizo ya kujiona kuwa unajua wakati haujui!! nani kakwambia hiyo charger yako ndio original? umeshaona Original Packaging wewe? haya angalia hapa full package ya iPhone 5S + warranty nimenunua wiki iliyopita uone kama inakuja na charger "after market" kama hiyo yako. acha wenge!!

21b69gy.jpg
 
Tatxo haya masimu yenu ni hatari sana!!! Inawexa kua imekwapuliwa huko na mtu akavunjwa shingo,tena kigogo au mtoto wa kigogo!
Si mnakumbuka yule aliuziwa simu ya marehemu Afande Barlow?? Sasa hv yupo store,hzo imeli sijui nimepatia ndo tatxo! Nokia ya touch unaweza ishi ingawa nayo majanga tu
 
Tatxo haya masimu yenu ni hatari sana!!! Inawexa kua imekwapuliwa huko na mtu akavunjwa shingo,tena kigogo au mtoto wa kigogo!
Si mnakumbuka yule aliuziwa simu ya marehemu Afande Barlow?? Sasa hv yupo store,hzo imeli sijui nimepatia ndo tatxo! Nokia ya touch unaweza ishi ingawa nayo majanga tu

Usikariri ati simu watoto wa vigogo, hatuna kitu hicho siku hizi, iphones, samsung galaxy note series siku hizi watu wengi hutumia kama kawaida tu... afu mtu kaonyesha hadi packaging nzima bado unahisi imeibiwa kwa mtoto wa kigogo, huyo aliyeibiwa ni mjinga kuibiwa kila kitu hadi boksi... sema visingizio kama mtu hela hana ndio maneno ya kujitetea haya
 
ndio matatizo ya kujiona kuwa unajua wakati haujui!! nani kakwambia hiyo charger yako ndio original? umeshaona Original Packaging wewe? haya angalia hapa full package ya iPhone 5S + warranty nimenunua wiki iliyopita uone kama inakuja na charger "after market" kama hiyo yako. acha wenge!!

21b69gy.jpg

Hiyo ndio ORGINAL PACK ya 5s na kuna USB imechoka na hivyo vingine vipya? mbona una unga unga mambo, hizi simu sema unakotoa, nimekuuliza una ushahidi wa manunuzi ujajibu mpaka sasa, ili tuone kama imetoka source halisi na ni yako kihalali, POVU la nini?

Pia hiyo charger sio part ya USA APPLE store Apple World Travel Adapter Kit - Apple Store (U.S.) hakuna the like kama yako, Kukaa kwenye box sio hoja, maana aliye chakachua anaweza tengeneza box safi tu, hata za kichina zina box safi tu, jibu nilichouliza, sio unauza vitu halafu unakuwa mkali,
Vipi ukimuuzia mtu kisha ikaleta longo longo si unampiga risasi, hiyo 5s unayosema watu tumeshaizeesha na charger yake ndio hiyo kwenye pic, zinaendana na ua 5.
wewe jieleze vizuri watu tununue mzigo
 
Mkuu mimi ni mnunuaji si mtafuta kasoro kama hawa wanaobwabwaja hapa.Ingekuwa Dar ningekupa 550,000/- Tukamaliza biashara
 
Usikariri ati simu watoto wa vigogo, hatuna kitu hicho siku hizi, iphones, samsung galaxy note series siku hizi watu wengi hutumia kama kawaida tu... afu mtu kaonyesha hadi packaging nzima bado unahisi imeibiwa kwa mtoto wa kigogo, huyo aliyeibiwa ni mjinga kuibiwa kila kitu hadi boksi... sema visingizio kama mtu hela hana ndio maneno ya kujitetea haya

Nimetoa mfano sijasema eti mtoto wa mkulima hawezi kua nayo!!
kozi mtoto wa mkulima akiibiwa atabaki analia tu!

Na itambidi ajipange tena walau three month ndo azame tena shop!

Tofauti na mwanaisha!
Kumiliki simu kalu just a matter of time na inategemea na mtu mwenyewe!
 
Hiyo ndio ORGINAL PACK ya 5s na kuna USB imechoka na hivyo vingine vipya? mbona una unga unga mambo, hizi simu sema unakotoa, nimekuuliza una ushahidi wa manunuzi ujajibu mpaka sasa, ili tuone kama imetoka source halisi na ni yako kihalali, POVU la nini?

Pia hiyo charger sio part ya USA APPLE store Apple World Travel Adapter Kit - Apple Store (U.S.) hakuna the like kama yako, Kukaa kwenye box sio hoja, maana aliye chakachua anaweza tengeneza box safi tu, hata za kichina zina box safi tu, jibu nilichouliza, sio unauza vitu halafu unakuwa mkali,
Vipi ukimuuzia mtu kisha ikaleta longo longo si unampiga risasi, hiyo 5s unayosema watu tumeshaizeesha na charger yake ndio hiyo kwenye pic, zinaendana na ua 5.
wewe jieleze vizuri watu tununue mzigo
boksi na vitu vyake lazima vitakuwa vipya tu maana linakaa kabatini sitembei nalo, hapo natumia usb cable tu maranyingi inakuwa mfukoni na pia nachajia kupitia laptop ndio maana cable sio nyeupe kihivyo. au unataka niifute ndio niipige picha maana hata kinachouzwa hapa sio iPhone 5S ni iPhone 5! Alafu siuzii shida, ntasubiri mpaka mtu afike bei. sio lazima kuiuza bei ambayo sijaridhika nayo.

alafu unamaanisha hata kama niliinunua kwa mtu binafsi kabla ya hapo ningemdai risiti au?we naona hauna hela unanipotezea muda, pita hivi :A S 112:!!
 
Natafuta iPhone 5s ambayo ipo locked kwenye icloud

Mwenye nayo anicheki PM tufanye business


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
[

Mkuu kuna watu kazi zao.ni kuwaharibia wenzao biashara tu we achana nae

Maana kila kitu umeonyesha lakini bado anakuchimba tu Duh pole

Kama huna pesa piga kimya mwanaume mzima kumzonga mwenzio haipendezi em tubadilike
QUOTE=Mnandi;9789207]mbona haujamalizia kubrowse hizo charger.. Hii hapa nimekusaidia Charging Devices - iPhone Accessories - Apple Store (U.S.)! Tafuta hiyo yako kwenye Apple Store utuonyeshe hapa ntakupa hiyo iPhone 5 bure.


jhporc.jpg
[/QUOTE]
 
Acha kumharibia mwenzio biashara kama huna ela potea sio lazima ucomment
 
IPhone5 mpya na original bei yake haipungui laki 8. ☎️
 
Kweli charger sio tatizo kwanza za iPhone 5s ni kama hiyo iliyoungua
 
Hiyo ndio ORGINAL PACK ya 5s na kuna USB imechoka na hivyo vingine vipya? mbona una unga unga mambo, hizi simu sema unakotoa, nimekuuliza una ushahidi wa manunuzi ujajibu mpaka sasa, ili tuone kama imetoka source halisi na ni yako kihalali, POVU la nini?

Pia hiyo charger sio part ya USA APPLE store Apple World Travel Adapter Kit - Apple Store (U.S.) hakuna the like kama yako, Kukaa kwenye box sio hoja, maana aliye chakachua anaweza tengeneza box safi tu, hata za kichina zina box safi tu, jibu nilichouliza, sio unauza vitu halafu unakuwa mkali,
Vipi ukimuuzia mtu kisha ikaleta longo longo si unampiga risasi, hiyo 5s unayosema watu tumeshaizeesha na charger yake ndio hiyo kwenye pic, zinaendana na ua 5.
wewe jieleze vizuri watu tununue mzigo

Umasikini n mbaya sana..
Mkuu inaelekea hauna ela alafu unatumia tecno ndo maana unatoa povu sana.!
 
Back
Top Bottom