The price is around 1.4 million unaweza kwenda kuangalia pale SAPNA ELECTRONICS
Haulizii bei za SAPNA anaulizia bei zetu za kijamii jamii kaka...lol
1.4 M unanunua kiwanja kariakoo..lol
kama una mtu anatoka pande za huko majuu muagize akutumie mkuu.. hizi za hapa watakupiga bei ghali na unaweza kuta sio kitu genuine vile vile last time ilikua 1.3 pale sapna nadhani itakua ishashuka
Mkuu kwa taarifa yako tu kwamba hata ukiagiza hii simu bado cost yake plus applicable taxes & clearing charges utakuta gharama itakuwa milioni moja na zaidi.
Mwambie huyo sijui anafikiria maembe hayoSasa wewe unataka vitu vizuri kwa bei za ice cream za Azam? Mi nauza iPhone 4 16GB Tsh. 1,300,000 original with 1 year warranty.
I believe nauza bei ya chini hapa Dar es Salaam kuliko muuzaji yeyote!!
Ndio bei hiyo, bei ya kijamii kwani umeambiwa IPhone 4 zinauzwa kwa mafungu????Haulizii bei za SAPNA anaulizia bei zetu za kijamii jamii kaka...lol
1.4 M unanunua kiwanja kariakoo..lol
Wakuu tafadhali naomba kujua IPHONE 4 zinafanya kazi Tanzania na mitandao gani?