The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,206
Kuna fununu kwamba mwaka huu, 2022 Apple atatoa simu za Iphone 14 pro yenye punch hole camera cutout kama zilivyo simu nyingine za Android tofauti na notch ama dirisha kwenye simu zake za sasa.
Mtindo huo mpya utakua kwenye simu za Pro ila nyingine zitabaki na notch. Kwenye design ama mitindo ya muonekano wa simu Iphone ziko nyuma sana kulinganisha na wapinzani wake wa Android.
Mimi binafsi nitanunua Iphone iwapo tu lile durisha pale juu litaondoka.
Mtindo huo mpya utakua kwenye simu za Pro ila nyingine zitabaki na notch. Kwenye design ama mitindo ya muonekano wa simu Iphone ziko nyuma sana kulinganisha na wapinzani wake wa Android.
Mimi binafsi nitanunua Iphone iwapo tu lile durisha pale juu litaondoka.