IPhone 13 camera hamna kitu

Naona wanatoa na warranty ya miezi 6 mpaka mwaka kwa bei za laki 6 sijui 7 vileeee, zinakuwa ni nzuri kweli?
Kwa .m yangu niliyochukua, ni nzuri balaa kwenye chaji haina shida kabisa, ila uwe vizur tu kwenye kuchagua ni bora ugande dukan lisaa 1 au zaid ili ukiondoka umeondoka
 
Nawaza sana kuhusu bidhaa itakuwa original kweli? Wasiwasi wangu upo hapo, bei zao zinavutia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa wanakupa warranty, Nadhani ikiwa famba watakubadilishia tu, Pia samsung copy unaweza kuifaham kwa kuiangalia kwa dakka chache na kuipekua unajua tu hi OV au laa, Hasa ukifungua camera, ukaipiga picha ila saut inayotoka, kwa kubonyeza code na mambo mengineyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…