IPhone 13 camera hamna kitu

Umemkalisha vizuri sana.
 
Note 8 na iphone macho matatu ni simu kutoka era tofauti kidogo
Kwa nmna yoyote ile haiwezekani Note 8 ikawa na kamera bora kuliko iphone 13 pro

Umeniacha hoi hapo ulipo sema eti ulijua ni iohone 13 kwa kuvua cover.... HOW?

Na unajua iphone macho matatu inaitwaje mkuu?

Jitathmini labda macho yako yameanza kufeli
 
Mkuu umeweka gazeti picha ipo wapi ya hio Iphone 13?
 
Simu ilikua ni ya watu..tena mke wa mtu ataipataje picha sasa..? Soma vizuri..kwaio unatumia iphone 7 🤣🤣🤣🤣
 
Sio kweli.
Bionic processor iliyo kwenye iphone 13 ndo the best processor according to majority benchmarks.
Designed by apple manufactured by tsmc.
Huyu tsmc ana technology ya kuunda processor kiasi kwamba intel anahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…