unamuuliza umri ni heri muulize MIAKA YAKEmkuu una umri gani?
Ingependeza zaidi kama pia angeiachia democracy ifuate mkondo wakeInapendeza kuona mkuu wa kaya akizamia katika maombi,Mungu wetu mwema aendelee kumpa hofu na unyenyekevu,kuwa rais na kumwabudu Mungu aliye hai inapendeza,barikiwa sana mh rais
kwani katukana?kuwa na chura hizo ni neema za allah,acha mihemko mkuuu!Tafwadhali ndugu yule ni mama mtu mzima anaweza kuwa anaringana na mama yako mzazi mkuu.....mpe heshima yake ndugu.....
kwani katukana?kuwa na chura hizo ni neema za allah,acha mihemko mkuuu!
ndio mkuuAngekuwa yule ni mama yako mzazi wewe ungelifurahia jambo hilo kuwa mama kajaaliwa neema za Allah...!!!??
ndio mkuu