LOWASSA: sasa chaliii angu niaje niaje!!!!! si unajua wote wa chuga town we na huyu dogo fanyeni basi mchakato mmwambie slaa atemane na mimi, si unaona na hawa masoro kina Nape na wao wananizingua, usiwire nikiingia magogoni we na huyu dogo mtakula shavu
LEMA: bro usikonde hata slaa si homebway lazima apite monduli kabla ya kwenda karatu we mtu wetu hata ktk sakata la umeya si ulikuwa upande wetu yaaani we usiwaze
SILINDE: MWEEEEE !huu mchongo mwenyekiti anaujua? Angeanza naye yeye hana shida kabiisa