Baba Sharon
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 372
- 259
Usipige namba hii imewekwa makusudi kiintelijensia. katika kukusanya majina harisi ya IDs
msu>> unasikia bwana mdogo.....
pin>> ehe
msu>>enzi zetu hatukuwa wasanii kama ninyi......
pi>> acha hizo!!
msu>> ndio nakueleza !!...tulikuwa tuna nidhami ya kijeshi katika utendaji wa kazi....
msu>>pia tulikuwa tunaheshimika sana tofauti na ninyi vijana wa leo.
pi>> mkuu hapo unaniongopea!!..ina maana mlikuwa hamjivui magamba???
msu>> mambo kama hayo hayakuepo kabisa...mfano..ukila...rushwa.....unachapwa viboko 12 kabla ya kuingia jela..na baada ya kifungo unachapwa tena viboko 12.
pi>> duh! Hilo kwa sasa gumu sana mheshimiwa, maana watachapwa wengi...ndio maana tunajivua magamba!!