Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Uliyoipa iko poa tu mbona.. "China is cleaver" ondoa tu "a" kwenye "cleaver"
Mytake: bora china kuliko marekani, marekani ni weziwezi tu.. mfano uwekezaji wao kwetu wa nishati hadi leo unatutesa.. Richmond sjui Dowans.. hasara tupu yani!