Ipe maneno hii picha

Ipe maneno hii picha

Ningependa kumuona x-ben Nk.....p akiendesha bicycle,ingekuwa picha ya enzi lakini hii ya sasa inaonesha kweli ni mtoto wa mkulima kwa vitendo
 
Ningependa kumuona x-ben Nk.....p akiendesha bicycle,ingekuwa picha ya enzi lakini hii ya sasa inaonesha kweli ni mtoto wa mkulima kwa vitendo

Tatizo ni kwamba mtazamo na matendo huwa havipishani, kwahiyo kama akili ipo kwenye manufaa binafsi, vitendo haviwezi kuwa vya kizalendo
 
Kwa kitendo cha kuendesha baskeli anaonyesha kuwa hapendi makuu,anajishusha.
 
Hela ya uma ilikuwepo ila ilikuwa imekwenda kuanzisha viwanda ambavyo sasa vimefilisiwa




Then yule mtoto wa Chigwiyemisi anasema mwalimu alikuwa hajui uchumi!!

Kweli walisema waswahili, mwenye shibe hamjui mwenye njaa!!

Yeye anawaza shibe yake tu......!!?

Ubunge atausikia tu ..... kula kulala!

....................
 
Then yule mtoto wa Chigwiyemisi anasema mwalimu alikuwa hajui uchumi!!

Kweli walisema waswahili, mwenye shibe hamjui mwenye njaa!!

Yeye anawaza shibe yake tu......!!?

Ubunge atausikia tu ..... kula kulala!

....................

Tatizo fact kama za uchumi zimefanywa propaganda siku hizi. Watu hadi sasa wanashindwa kutenganisha zipi propaganda za siasa na zipi ni fact. Hata concrete economic facts kama inflation rate nayo imekuwa kama swala la propaganda.
 
Kama alikuwa teyari rais kweli nimemkubali kambarage wa watu na i miss him so so so much
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom