Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Si rahisi kujua ni nini Mbowe alikuwa akisema hapa na ku-create mazingira ya jirani yake kuwa na sura hiyo. Kikao kilikuwa ni kuandaa ratiba ya mazishi ya mpiganaji wetu marehemu Mtema. Weka maneno katika picha....karibu.