Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,887 1,193 Mar 25, 2012 #1 Unafikiri hapa haya magamba magumu yanaelezana nini? Kazi kwako!
Neiwa JF-Expert Member Feb 17, 2012 728 633 Mar 25, 2012 #2 Kuna sura ukiziona mawazo yote yana paa kwa jinsi ulivo na hasira kali juu yao. Hawa wapo katika hili kundi.
Kuna sura ukiziona mawazo yote yana paa kwa jinsi ulivo na hasira kali juu yao. Hawa wapo katika hili kundi.
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,366 6,519 Mar 25, 2012 #3 hapa ni sura ya mbuzii tu hamna kujivua gamba