ngojea tuone wale watu wa androids wataleta chuki kama kawaida lakini mimi nazani ios5 ni bomba sana na ile iphone 4s kama waweza pata
adroids kazi wanayo walikuja na hii personal assistance kwanza na dictation lakini inafanya simu nzima isifanye kazi na inachukua muda mwingi tusubiri tuone iphone itakuwaje. Lakini hawa watu wa apple hawaletagi vitu vimepikwa nusu. wanaletaga vitu vimepikwa vikapikika yaani mpaka ukitumia waona unajiuliza nimeishije bila haka kakitu.ki2 ya iphone ni maneno ingine mkuu angalia nimetuma maelezo ya 4s imetulia androids kazi wanayo mkuu
adroids kazi wanayo walikuja na hii personal assistance kwanza na dictation lakini inafanya simu nzima isifanye kazi na inachukua muda mwingi tusubiri tuone iphone itakuwaje. Lakini hawa watu wa apple hawaletagi vitu vimepikwa nusu. wanaletaga vitu vimepikwa vikapikika yaani mpaka ukitumia waona unajiuliza nimeishije bila haka kakitu.