Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
Kuna jamaa mmoja wa nchi jirani alimtoa nzi aliyeingia kwenye glasi yake iliyokuwa na bia, akamfyonza halafu akamtupa na kumwambia "buy yours...st***d!" baadae akashushia na ile bia iliyochafuliwa na yule nzi.
Ilibidi tuhame pale mezani!
Hahahahahahahahahahahahahaaaaa! Nimecheka sana aisee....Enhee baada ya kuhama mkawa na amani?
Ilikuwa kila alipokatiza nzi mezani kwetu, mashavu yanajaa mate! Mwishowe ilibidi tuondoke kabisa maeneo. Mshikaji alionesha ujasiri wa aina yake, kumbuka nzi mwenyewe ni yule "bwana afya" a.k.a "nzi wa kizungu"
Drink at u own risk
Kuna jamaa mmoja wa nchi jirani alimtoa nzi aliyeingia kwenye glasi yake iliyokuwa na bia, akamfyonza halafu akamtupa na kumwambia "buy yours...st***d!" baadae akashushia na ile bia iliyochafuliwa na yule nzi.
Ilibidi tuhame pale mezani!
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
Kuna jamaa mmoja wa nchi jirani alimtoa nzi aliyeingia kwenye glasi yake iliyokuwa na bia, akamfyonza halafu akamtupa na kumwambia "buy yours...st***d!" baadae akashushia na ile bia iliyochafuliwa na yule nzi.
Ilibidi tuhame pale mezani!
Nauliza, kiustaarabu inzi akiingia kwenye glass ya bia (au whisky) yako ukiwa bar, je ukiimwaga unatakiwa uilipe, au ni bar italipa kwa kutoweka maeneo yao safi mpaka kukawa na mainzi?
We so mnywaj wa beer!
Inz aknga kwenye glas ya ba hutakw kumwaga, jaza glas yako ba mpaka juu kabsa zen chukua kfunko cha beer mtoe kulan huyo Inz paspokumwaga hata tone, ksha chukua glas yako pga fundo moja na endelea kuta heshma bar!
jamaa kiboko!
Mi kwenye bia namwaga lakini kama nakamata whisky au brandy naomba kisoda namtoa kisha naendelea nayo.
Lakini ilibidi watulipe. Imagine unapewa glass kubwa inayoingia bia nzima halafu umepiga funda moja tu nzi wa ccm huyo!
yaani umwage bia sababu ya nzi tu!?basi kuwa uyaone.ndo usharobalo au?sijakuelwa vizuri.unasema?mia
Nzi wa sisiem! Kaaz kwel!