BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Mwaka jana nilisafiri kwenda US kuwasalimia rafiki zangu wanaoishi huko, bahati nzuri nikapata rafiki mpya. Kwenye maongezi aliniambia angependa kuwekeza Tanzania. Alipo niomba ushauri nikamwambia inawezekana na nikamshauri tuwekeze kwenye tourism sector which I am conversant in. She agreed and was ready to invest $5million whereby I would be of the partners.
Niliondoka US kurudi nyumbani na kuanza mchakato. Ilipofika mwaka huu mwezi wa kumi alinitaarifu kuwa angekuja mwezi November. Kabla ya kuja Tanzania alitembelea ofisi zetu za ubalozi zilizo US na kuomba ushauri on the same issue, walimshauri kama anataka kuwekeza katika sector ya utalii lazima afike ofisi za TIC, TTB, na Ministry of Tourism. She asked me to organize meetings with those authorities.
DISSAPOINTMENTS:
1. Nilituma e-mails kwenda TIC, TTB na Tourism lakini hakuna hata moja iliyojibiwa mpaka leo hii ambapo ni karibia mwezi sasa.
2. Nilipiga simu kuomba appointments nikaambiwa twende tu haina haja ya kufanya appointments
3. Tulikwenda TIC idara ya trade facilitation but we did not get any useful information because the guy could not explain opportunities we have in tourism investment so it ended up being trade frustration.
4. Nilikwenda TTB Idara ya marketing and it was same story, Boss was trying to promote the southern circuit which does not have infrastructures and also he was not aware of the business volume in terms of figures. I know southern circuit is not doing well in tourism business. So it shouldn't be advisable for a new Investor until infrastructures will be in place.
5. Nikawapigia tourism (TANAPA) for appointment nikaambiwa wakubwa hawatakuwepo ofisini mpaka baada ya wiki tatu so we will not geed detailed information.
Baada ya hizo disappointments tulikaa chini na Investor akaniambia tu "Sorry I haven't been convinced enough to invest in your country but let's keep intouch" akala PIPA akarudi zake.
Kaka, tafadhali tuwasiliane: I work for a Not for profit-American Public Benefit Corporation. we invest in Between Tanzania and USA and Burundi with USA. Our strength, we are backed by the American People which by the way are our-friends. We have ability to convince your investor to resume business with you. Please contact us. We are American Start-up Ventures
Wabunifu USA
323-293-3071
yasser.mziba@wabunifu.org
We are Bilingual, Kiswahili, Kirundi, US English, UK English, Arabic, French and Spanish.
FaceBook, Wabunifu USA.
Mungu akipenda atarudi.
Tatizo letu wa-TZ ndo hilo kila mtu mbabaishaji tu utafikiri wajaenda shule. Hapa ndo nachoka kabisa na wasomi wa TZ. Utakuta mtu ana shahada kama utitiri lakini angalia mambo anayoyafanya haviendani kabisa na usomi wake! Sidhani kama tutawafikia wenzetu katika hii EAC! Kazi kweli kweli! na wewe jamaa yangu mtindo wa kwenda kujirundika North circuit nani kakushauri tunataka tu mahali ambako wenzetu walishaanza kufanya biashara wazo la kuwa wabunifu hatuna kabisa!!!!!! Eti tu kwa vile fulani amefanikiwa huko North na wewe ndo unaona huko ndo kuzuri! Biashara inahitaji promotion kaka ongea na jamaa wa marketing watakushauri hata huko South kutakuja kuwa kuzuri tu!
Nakushauri wasiliana na Business Services & Consultancy Ltd. Wapo Millenium Business Park, Morogoro Rd. Office # 7
Watakupa ushauri wa kitaalam. Investment kubwa kama hiyo ya $5M inataka upate ushauri wa kiTaalamu.
Mwaka jana nilisafiri kwenda US kuwasalimia rafiki zangu wanaoishi huko, bahati nzuri nikapata rafiki mpya. Kwenye maongezi aliniambia angependa kuwekeza Tanzania. Alipo niomba ushauri nikamwambia inawezekana na nikamshauri tuwekeze kwenye tourism sector which I am conversant in. She agreed and was ready to invest $5million whereby I would be of the partners.
Niliondoka US kurudi nyumbani na kuanza mchakato. Ilipofika mwaka huu mwezi wa kumi alinitaarifu kuwa angekuja mwezi November. Kabla ya kuja Tanzania alitembelea ofisi zetu za ubalozi zilizo US na kuomba ushauri on the same issue, walimshauri kama anataka kuwekeza katika sector ya utalii lazima afike ofisi za TIC, TTB, na Ministry of Tourism. She asked me to organize meetings with those authorities.
DISSAPOINTMENTS:
1. Nilituma e-mails kwenda TIC, TTB na Tourism lakini hakuna hata moja iliyojibiwa mpaka leo hii ambapo ni karibia mwezi sasa.
2. Nilipiga simu kuomba appointments nikaambiwa twende tu haina haja ya kufanya appointments
3. Tulikwenda TIC idara ya trade facilitation but we did not get any useful information because the guy could not explain opportunities we have in tourism investment so it ended up being trade frustration.
4. Nilikwenda TTB Idara ya marketing and it was same story, Boss was trying to promote the southern circuit which does not have infrastructures and also he was not aware of the business volume in terms of figures. I know southern circuit is not doing well in tourism business. So it shouldn't be advisable for a new Investor until infrastructures will be in place.
5. Nikawapigia tourism (TANAPA) for appointment nikaambiwa wakubwa hawatakuwepo ofisini mpaka baada ya wiki tatu so we will not geed detailed information.
Baada ya hizo disappointments tulikaa chini na Investor akaniambia tu "Sorry I haven't been convinced enough to invest in your country but let's keep intouch" akala PIPA akarudi zake.
Pole Sana,mwambie Aje tumpeleke Kigali,kuna Ecotourism oportunities kibao na serikali ya kagame iko makini sana,day one unapata vibali vyote na statistics zote za kumvutia kuanza biashara.
ni pm contacts zake,i can link yin ou guys with some key people who have invested inThanks for the info, infact on her way back to US, she went through Rwanda.
Mwaka jana nilisafiri kwenda US kuwasalimia rafiki zangu wanaoishi huko, bahati nzuri nikapata rafiki mpya. Kwenye maongezi aliniambia angependa kuwekeza Tanzania. Alipo niomba ushauri nikamwambia inawezekana na nikamshauri tuwekeze kwenye tourism sector which I am conversant in. She agreed and was ready to invest $5million whereby I would be of the partners.
Niliondoka US kurudi nyumbani na kuanza mchakato. Ilipofika mwaka huu mwezi wa kumi alinitaarifu kuwa angekuja mwezi November. Kabla ya kuja Tanzania alitembelea ofisi zetu za ubalozi zilizo US na kuomba ushauri on the same issue, walimshauri kama anataka kuwekeza katika sector ya utalii lazima afike ofisi za TIC, TTB, na Ministry of Tourism. She asked me to organize meetings with those authorities.
DISSAPOINTMENTS:
1. Nilituma e-mails kwenda TIC, TTB na Tourism lakini hakuna hata moja iliyojibiwa mpaka leo hii ambapo ni karibia mwezi sasa.
2. Nilipiga simu kuomba appointments nikaambiwa twende tu haina haja ya kufanya appointments
3. Tulikwenda TIC idara ya trade facilitation but we did not get any useful information because the guy could not explain opportunities we have in tourism investment so it ended up being trade frustration.
4. Nilikwenda TTB Idara ya marketing and it was same story, Boss was trying to promote the southern circuit which does not have infrastructures and also he was not aware of the business volume in terms of figures. I know southern circuit is not doing well in tourism business. So it shouldn't be advisable for a new Investor until infrastructures will be in place.
5. Nikawapigia tourism (TANAPA) for appointment nikaambiwa wakubwa hawatakuwepo ofisini mpaka baada ya wiki tatu so we will not geed detailed information.
Baada ya hizo disappointments tulikaa chini na Investor akaniambia tu "Sorry I haven't been convinced enough to invest in your country but let's keep intouch" akala PIPA akarudi zake.