Natafuta mtu wa kuinvest kwenye idea yangu ya biashara!
Mtu aweze kuinvest kuanzia 5milion kupanda! Kama ni mkopo nitamlipa kwa marejesho ila kama ni only investment atapata shares katika hii biashara! Kwa hiyo atakuwa miongoni mwa shareholders!
Baada ya muda hii biashara au kampuni itaweza kuzalisha pesa zaidi! Akiinvest 5m .Katika profit, thamani ya shares atakayoipata inaweza kuzidi 5m hiyo! So ni biashara nzuri in a long run.
Wanahitajika investors kama wawili hivi.
Binafsi sina hela ila nina idea, ila natumahi tukishirikiana tunaweza tengeneza kitu kizuri zaidi!!
Siwezi ieleza hii idea hapa ila tukikutana naweza ieleza vizuri kwa jinsi ninavoipanga itakavyokuwa!!
Kama kuna mtu yuko serious please tufanye investment hii!
Ni PM kama uko serious members mwenzangu
Mtu aweze kuinvest kuanzia 5milion kupanda! Kama ni mkopo nitamlipa kwa marejesho ila kama ni only investment atapata shares katika hii biashara! Kwa hiyo atakuwa miongoni mwa shareholders!
Baada ya muda hii biashara au kampuni itaweza kuzalisha pesa zaidi! Akiinvest 5m .Katika profit, thamani ya shares atakayoipata inaweza kuzidi 5m hiyo! So ni biashara nzuri in a long run.
Wanahitajika investors kama wawili hivi.
Binafsi sina hela ila nina idea, ila natumahi tukishirikiana tunaweza tengeneza kitu kizuri zaidi!!
Siwezi ieleza hii idea hapa ila tukikutana naweza ieleza vizuri kwa jinsi ninavoipanga itakavyokuwa!!
Kama kuna mtu yuko serious please tufanye investment hii!
Ni PM kama uko serious members mwenzangu