Introverts tunaishi maisha 'unique' sana

Na mm pia n m1 wenu friends ni introvert coz cna mazoea na wadd na najitahd kutmz malengo yangu amby bd cjayafkia
 
ila Introvert please, tujitahidi kupunguza uhuni/ngono, tulivyo wapole, tuunavyochakarika, na tunavyofanikiwa wanawake wengi wanatuelewa sana na kutufuatilia sana, na wanachukuliaga upole wetu kama hatuwezi kutongoza shida wanakuja kustukia wameshaliwa. ili kuendeleza jumuiya ya introvert, tuepuke umalaya, tumwogope Mungu ili tuishimaisha marefu. ni ushauri tu.
 
Dah utofauti wetu unafanya wanaliwa sana. Kwa sababu wanawake huwa wanapenda watu wa kiutofauti. Asa haoa duniani extrovert ni wengi kuliko sisi.
Case closed. Huo ushauri ni
 
Imepita hiyo, tuishi maisha marefu introverts


Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha uongo sasa hivi kuna ofisi au taasisi mtu anaweza siku nzima siku zote asishirikiane na wafanyakazi wenzake (work mates) kwenye kazi kwamba kila mtu anafanya kazi kivyakevyake tu .
Acha uongo wako we bwana mdogo
JF ina watu wa ajabu sana
 
Sahihi kabisa ijapokua me cna hayo
 
Umenimaliza Mimi wote.
Kwakweli ndivo nilivo ndiomana natafutana na pesa Kama kichaa
.
 
Hongera mkuu. Ukijitambua siku zote utafanya Mambo yako kwa uhakika na kujiamini Sana. Ila changamoto ni kuwa, jamii haiwaelewi watu wa Aina yako na inawaona Kama wanaringa au Wana majivuno flani hivi, but usipolitazama Hilo utafika mbali Sana hongera.
 
Introvent by born ir by environmental kuna mmoja alisema yeye no Intovent by professional
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…