Introducing Google Nexus 7, Tablet ya BEI NAFUU DUNIANI

Kaka mi naona uko-overexcited kutokana na bei kiasi kwamba umeshindwa kuangalia mambo ya muhimu kama screensize, hako kadudu kadogo sana bana, huwez kukasogeza karibu na ipad, labda wangekawekea 3g kangekuwa kwenye kundi la galaxy note! Hata hivyo sidhani kama ndy th cheapest tablet out there; kama utetezi wako ni price!.....lakini...is it a tablet realy? i see it more of an e-reader, kama kindle, nook na vitu kama hivyo!
Hapana, Asante!

It's true Am excited with it's price.
but mkuu ukitoa Camera, Screen size na cellular network connection Ipad inaizidi kipi kingine???
Soon Kutakua na other Nexus Tablets zenye 3G na 10" let's keep waiting.
 
It's true Am excited with it's price.
but mkuu ukitoa Camera, Screen size na cellular network connection Ipid inaizidi kipi kingine???
Soon Kutakua na other Nexus Tablets zenye 3G na 10" let's keep waiting.

Kaka itendee haki iPad, that thing is solid!
 
ukinunua hii unaninua kaideos unakaunlock unaweka line una tether wireless problem solved...12 core GPu hii.iPad kwisha

Umeo na eeeeee Haka ka Ideos kangu sikauzi ng'oooo


Wakuu zangu endapo mtanipa maelezo hapo juu nini cha kufanya kuhusu hiyo ideos the hata kesho nachukua hii kitu, naombeni mnishauri zaidi na mnielekeze step by step kuhusu hiyo Ideos itafanyeje kazi na hii kitu??
 
Nexus 7 Specs

SCREEN

  • 7" 1280x800 HD display (216 ppi)
  • Back-lit IPS display
  • Scratch-resistant Corning glass
  • 1.2MP front-facing camera
WEIGHT

  • 340 grams
MEMORY

  • 16 GB internal storage
  • 1 GB RAM
BATTERY

  • 4325 mAh (Up to 8 hours of active use)
CPU

  • Quad-core Tegra 3 processor
SIZE

  • 198.5 x 120 x 10.45mm
WIRELESS

  • WiFi 802.11 b/g/n
  • Bluetooth
USB

  • Micro USB
OS

  • Android 4.1 (Jelly Bean)
FEATURES

  • Microphone
  • NFC (Android Beam)
  • Accelerometer
  • GPS
  • Magnetometer
  • Gyroscope


Source: http://www.ebuyer.com/388913-asus-nexus-7-tablet-pc-90ok0mi1100550u?gclid=CInYsYbm-bACFQQhtAodcVgz-g
 
Last edited by a moderator:
Kama home una Wi-Fi hotspot net kama kawa unapata, au unaweza tumia simu nyingine ya android kusupply Internet connection via Wi-Fi

Tatizo kwa tz ni hiyo WI-FI Broadbend ambayo inaoperate sehemu chache sana. Mimi ninayo samsung yenye wifi lakini iliwahi kushika kwa kutumia wirelss fidelity nilipo kuwa Moshi sehemu zingine zote haijawahi kuwa activated.
 
Wakuu zangu endapo mtanipa maelezo hapo juu nini cha kufanya kuhusu hiyo ideos the hata kesho nachukua hii kitu, naombeni mnishauri zaidi na mnielekeze step by step kuhusu hiyo Ideos itafanyeje kazi na hii kitu??

Okay, Ideos au simu nyingine ya Android itakusaidia kusambaza internet connection kwa njua ya Wi-Fi kutoka katika hiyo simu kwenda katika vifaa venye Wi-Fi. jinsi ya kuconnect fuata mtiririko huu.
INGIA
>>SETTINGS
>>WIRELESS & NETWORK
>>TETHERING & PORTABLE HOTSPOT
>> tick kwenye PORTABLE Wi-Fi HOTSPOT
>>PORTABLE Wi-Fi HOTSPOT SETTINGS
>>CONFIGURE HOTSPOT SETTINGS (hapa utaweka jina la hiyo HOTSPOT na password ili kuzuia ambao hawana password kutumia.)

Ukimaliza kilakitu Sasa ludi katika kifaa cha upande wa pili ambacho unataka kitumie hiyo Wi-Fi HOTSPOT kutoka katika Ideos au simu ya android nyingine, Fungua
>>SETTINGS
>>WIRELESS & NETWORK
>>Wi-Fi
>>THEN SEARCH FOR Wi-Fi HOTSPOT
utaona ile ambayo uliyo iset itaonekana then isrlect kisha andika password uliyoweka, itaconect kwa muda kidogo ikileta feedback kuwa CONNECTED sasa hapo your good to GO. kama nimekuacha usisite kuuliza.
 
Okay, Ideos au simu nyingine ya Android itakusaidia kusambaza internet connection kwa njua ya Wi-Fi kutoka katika hiyo simu kwenda katika vifaa venye Wi-Fi. jinsi ya kuconnect fuata mtiririko huu.
INGIA
>>SETTINGS
>>WIRELESS & NETWORK
>>TETHERING & PORTABLE HOTSPOT
>> tick kwenye PORTABLE Wi-Fi HOTSPOT
>>PORTABLE Wi-Fi HOTSPOT SETTINGS
>>CONFIGURE HOTSPOT SETTINGS (hapa utaweka jina la hiyo HOTSPOT na password ili kuzuia ambao hawana password kutumia.)

Ukimaliza kilakitu Sasa ludi katika kifaa cha upande wa pili ambacho unataka kitumie hiyo Wi-Fi HOTSPOT kutoka katika Ideos au simu ya android nyingine, Fungua
>>SETTINGS
>>WIRELESS & NETWORK
>>Wi-Fi
>>THEN SEARCH FOR Wi-Fi HOTSPOT
utaona ile ambayo uliyo iset itaonekana then isrlect kisha andika password uliyoweka, itaconect kwa muda kidogo ikileta feedback kuwa CONNECTED sasa hapo your good to GO. kama nimekuacha usisite kuuliza.
NingaR nashukuru sana mkuu kwa msaada wako na mawazo yako,hapo atleast umefunguka kidogo nimekuelewa mkuu wangu wala hamna tatizo kabisaa na nimefurahi,then mkuu wewe hii kitu unayo na umenunua lakini au sio??pia vile vile me sina hiyo Ideos je ni sawa nikitumia Blackberry au sio??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
NingaR nashukuru sana mkuu kwa msaada wako na mawazo yako,hapo atleast umefunguka kidogo nimekuelewa mkuu wangu wala hamna tatizo kabisaa na nimefurahi,then mkuu wewe hii kitu unayo na umenunua lakini au sio??pia vile vile me sina hiyo Ideos je ni sawa nikitumia Blackberry au sio??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Nexus 7 itaanza kusambazwa mid July kwa $199 kama lak 330 so kibongobongo itakua juu kidogo na pia itachelewa kufika, kuhusu Kuset Wi-Fi hotspot kwenye Bbrlerry sifahamu coz sijawahi tumia Bberry, ila nahisi inawezekana just ulizia kwa wenye experience na hii kitu kwenye Bberry lazima iwezekane
 
Last edited by a moderator:
Nexus 7 itaanza kusambazwa mid July kwa $199 kama lak 330 so kibongobongo itakua juu kidogo na pia itachelewa kufika, kuhusu Kuset Wi-Fi hotspot kwenye Bbrlerry sifahamu coz sijawahi tumia Bberry, ila nahisi inawezekana just ulizia kwa wenye experience na hii kitu kwenye Bberry lazima iwezekane

Aminia sana mkuu wangu na nashukuru sana tena sana kwa msaada wako, yes nadhani itabidi niwaulizie jamaaa jinsi ya ku connect.
 
Pamoja sana mkuu

Mkuu hebu check hii alafu unaionaje hivi??

[h=1]DISGO TABLET 8100 10.1" SLIM TOUCHSCREEN PC TABLET GOOGLE ANDROID 2.3[/h]
Features:


  • Android 2.3 Tablet, 1,000s of Apps Available
  • Simple Capacitive 10.1" Multi Touch Screen
  • Plays 1080p HD Content on Your TV via mini HDMI Port
  • 1GHz Processor, 4GB Memory Expandable to 32GB with Micro SD Card
  • Limitless Possibilities - Web, Games, E-Books, Video & More
  • 1000's Apps Available
  • Supports most languages in the world

Specifications:

  • Full multi function touch 10.1" high resolution TFT screen
  • Screen Resolution: 1024 x 600
  • RAM: DDR2 512MB
  • Built- in 2 x 0.5W speaker
  • 6500mA rechargeable polymer battery
  • Built in VGA webcam and microphone
  • 3 axis G Sensor
  • Wi-Fi IEEE 802.11b/g/n
  • Storage: Flash Storage: 4GB, External: Micro SD card up to 32GB
  • Ports: Mini USB x 2, Micro-SD card slot x 1 (up to 32GB), 3,5m audio out, DC jack x 1 (5V 2.5A DC), 19pin Mini HDMI x 1
  • Accessories: User Manual x 1, Power Adaptor x 1, USB cable x 1
  • Pre- Loaded Applications: YouTube, Skyfire browser, GetJar (Android apps market)
  • Processor: iMAPx210, 1GHz, 16KB L2 Cache, 266MHZ bus clock
  • Dimensions: 270mm(L) x 171mm(W) x 10.5mm(D)
  • Weight: 0.45KG
  • Supported File Format: audio: MP3/ WAV/ WMA/ AAC/ AC3/ AAC+ RealAudio Video: avi/ mov/ mp4/ asf/ wmv/ rm/ rmvb/ 3gp/ mpg/ flv/ Image: jpeg, gif, png, bmp

Mkuuu jaribu kwanza kuicheck hiii alafu niambie kwanza ni nzuri na inafaa lakini au kimeo??na angalia picha zake utaona​
 
wakati naleta huu mjadala humu watu waka lalamika kua haina 3G, and nilisema kwamba ule ni mwanzo inaweza ikahaja Nexus 7 yenye 3G compatibility, kama nilivyo guess there is Nexus 7 inakuja in six weeks it will be full with 3G support but all other specifications will remain the same.

SOURCE
 
Wengi hamjafurahishwa na Nexsus 7 kwa sababu ya kushindwa kutumia line. lakini vitu vingine hamuangalii kabisa.
Ipad 3 16Gb Wi-Fi only inauzwa US $499 na Nexus 7 ni US $199 tofauti ya US $300 lakini bado watu mnalalamika. Ikunbukwe kua Nexus 7 imekuja kwaajili ya kuwapa watu wa kila kipato ueezo wa kumiliki Tablet. Inawezekana kua Google wata leta version yenye Cellular capability. tusubilini tujionee wenyewe.
BINAFSI NAONA KAMA Nexus 7 NI MKOMBOZI KWETU WA TU WA KIWANGO CHA CHINI, MSIHOFU SUALA LA Wi-Fi CONNECTION UNAWEZA TUMIA YOUR ANDROID SMARTPHONE KAMA Wi-Fi HOTSPOT. KWA BEI HII NA FEATURES ILIZO NAZO SIO SUALA LA KULALA MIKA KABISA. MNAWEZA KUNUNUA IPAD KWA USD $599 YENYE CELLULAR NETWORK CAPABLE.
Kwa mazingira ya bongo bila SIM hizo ndude ni buure,usilinganishe na wakati huo juu ya laptop kutokuwa na SIM kunatokana na mazingara ya wakati huo,enzi hizo kulikuwa hakuna mambo ya modem,lakini siku hizi pamoja na laptop kutokuwa na option ya SIM lakini ina option ya kutumia modem,sasa tablet bila kuwa na SIM utatumiaje chukulia niko njiani nasafiri au niko vijijini,nafaikiri hao jamaa wamelenga soko la Majuu ambako huenda Wi-Fi connection ipo kila mahala
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom