Interview ya TRA haijatuacha salama

mmeulizwa maswali gani mwaka huu?
Fair boss naamini hata cut off marks zinaweza kuwa kubwa maana mtihani umebase Tax tu nadhani yeyote katika course walizoomba wanaweza jibu.

Labda usahihishaji usiwe Fair na Vimemo vihusike kwa sana.
 
Usawa wa JPM huu... Hakuna upendeleo pale utumishi.. Na atakayekiuka maagizo na sheria za kuajiri watumishi wa serikali hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fair boss naamini hata cut off marks zinaweza kuwa kubwa maana mtihani umebase Tax tu nadhani yeyote katika course walizoomba wanaweza jibu.

Labda usahihishaji usiwe Fair na Vimemo vihusike kwa sana.
sasa kwa wale ambao hawakusoma tax mfano evonomics na law wamejibu nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…