Gogadi
Senior Member
- Nov 15, 2012
- 121
- 16
Nipo kuanzia saa 1 na nusu hv asubuhi na usaili walisema unaanza saa 2 na nusu...lakini cha kushangaza mpaka mida hii ya saa 3 hv hakuna kinachoendelea...kweli aliyesgiba hamkumbuki mwenye njaa...na kama ajira zenyewe ndo hv waajili badilikeni....cha msingi zingatueni muda na ss tuna mambo mengi mengine ya kudanya jamani...nawasilisha kwa wana jamii kwangu nimeona ni tatizo sijui ww.