Moniel
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 228
- 553
Habari zenu wakuu!
Niliomba nafasi ya kazi ya Accounts officer katika tume ya utumishi wa mahakama katika mfumo wao wa kutuma maombi (Online Application),
Leo mchana nimesikiliza Tbc FM kuwa majina yalishatoka kwa ajili ya interview lakini bado sijatumiwa ujumbe Hata kuona kwenye account yangu Kama nimekuwa selected au hapana.
Naombeni msaada kwa yeyote aliyefanya application aniambie majina yanakuwa wapi.
Ahsante.
Niliomba nafasi ya kazi ya Accounts officer katika tume ya utumishi wa mahakama katika mfumo wao wa kutuma maombi (Online Application),
Leo mchana nimesikiliza Tbc FM kuwa majina yalishatoka kwa ajili ya interview lakini bado sijatumiwa ujumbe Hata kuona kwenye account yangu Kama nimekuwa selected au hapana.
Naombeni msaada kwa yeyote aliyefanya application aniambie majina yanakuwa wapi.
Ahsante.