Kwenye intaview ya TRA kulikuwa na watu zaidi ya buku2 ila washkaj walitoboa na sasa wapo mamlakani.. Kikubwa ni kumtanguliza MUNGU na kujiandaa. MUNGU ATUSAIDIE
Tupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaa
Tupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaa
Tupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaa
Kwa Hali ya sasa bado Tanzania Kuna watu zaidi ya elfu 1 wanakusanywa sehemu moja.? Wanashindwa kutuma hizo test online for screening at least wapate 15%?