Hongereni wote mliofanya interview! Sasa tusubiri matokeo! Kila rakheri kwa wataofaulu kwa hatua ya oral nk, Na ambao hatutofanikiwa mapambano yaendelee hadi kieleweke
Watu wote hao!!???
alafu unakuta watu wapo wengi vyuoni wanasoma banking!!
Mm bora nijifunze namna bora ya kufuga nyuki....
au nijifunze namna bora ya kuhifadhi mazao yanayowahi kuharibika
Mmh sikuskia hilo nahisi ni baada ya watu wote kufanya interview Ndyo watashortlist. Ile kwa ule wingi sijui watasahihishaje ama kuna mitambo ya kusaidia kusahisha jamani??? Maana sielewii 🤔
Mmh sikuskia hilo nahisi ni baada ya watu wote kufanya interview Ndyo watashortlist. Ile kwa ule wingi sijui watasahihishaje ama kuna mitambo ya kusaidia kusahisha jamani??? Maana sielewii
Mmh sikuskia hilo nahisi ni baada ya watu wote kufanya interview Ndyo watashortlist. Ile kwa ule wingi sijui watasahihishaje ama kuna mitambo ya kusaidia kusahisha jamani??? Maana sielewii