Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Watu wote hao!!???
alafu unakuta watu wapo wengi vyuoni wanasoma banking!!
Mm bora nijifunze namna bora ya kufuga nyuki....
au nijifunze namna bora ya kuhifadhi mazao yanayowahi kuharibika
 
Kwa umoja huu huu wa kusoma na kukoment uendelee hata mara baada ya tokeo kutoka.
 
Kwa umoja huu huu wa kusoma na kukoment uendelee hata mara baada ya tokeo kutoka.
Hahaha..nakumbuka NMB walitoaga kazi.ule Uzi ulikua unatembea kweli..Siku majibu yalivyotoka sasa..na Uzi ukaanza kufia hapohapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…