Last_Kingz
Member
- Oct 27, 2019
- 46
- 31
hahah acha tu kakaLeteni mrejesho huko wasaka Ajira.. interview imepitaje hapo utumishi siku ya Leo..
Sio mbaya mkaweka na maswali hapa




hahah acha tu kakaLeteni mrejesho huko wasaka Ajira.. interview imepitaje hapo utumishi siku ya Leo..
Sio mbaya mkaweka na maswali hapa




Kuna watu wamefanya Leo.. kama sikosei ni wale wa TPANi next week sio leo
hahah acha tu kaka![]()
ndio TTCLVpi mkuu,, uliwahi Usaili Leo..?
Pepa limetokaje Mkuu.? Na vp watu wengi walirespond kuja kwenye Usailindio TTCL
Hehehe leo bwana hakukua na swali hata moja la researchSoma research
Kwahyo hawakutaka kutoa research kabisaHehehe leo bwana hakukua na swali hata moja la research
kaka pepa la kufikirika, tuPepa limetokaje Mkuu.? Na vp watu wengi walirespond kuja kwenye Usaili
hamna, cha researchKwahyo hawakutaka kutoa research kabisa
Haya hebu tusubiri tokeohamna, cha research
Ila ukifaulu haurudi kutoa shukrani uyoo kwenye V8 dharau kibaooMsaada please aliyewahi fanya interview huko. Mimi nimesoma Bsc. In statistics, lakini sasa tumechanganywa kozi kama zotee yaani.
Msaada msaada nifanyeje, nipeni mwangaza, hii ni first interview
Nitatoa banaaIla ukifaulu haurudi kutoa shukrani uyoo kwenye V8 dharau kibaoo
Waliosoma law nao wapo piaKigezo ingekuwa waliosoma Law, acha kutishia raia
Naomba utusaidie custom procedures mkuuNaona mmechanganywa watu kutoka fields mbalimbali, Human resources, Marketing, Statistics, Procurement, Transport and logistics Management, Shipping and logistics management etc etc etc
Ingekua wote mnatoka Transport and logistics management ama Shipping and logistics management, basi ningesema upitie humu :
~Port Operations
~Customs Procedures
~Logistics
~Supply Chain Management
~Inventory Management
~Supply Chain
~Port Security
~Shipping Markets
~Some shipping terms kama wharfage, berth, berthing, demurrage, star board, port side, port etc etc
Lakini sasa mmechanganywa kutoka courses mbalimbali, hivyo nachelea kusema kuwa, ili kuleta usawa lazima kitumike kipimo sawa kwa wote. Kwani wengine hapo hamna background ya port operations.
Hivyo basi, isome sana RESEARCH usiiache iende zake, job description ziwe kichwani pamoja na basic port terms kama wharf, quay, port, types of ships, berthing, wharfage etc etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh walitoa maswali gani mkuu? Samahani lakini.Hehehe leo bwana hakukua na swali hata moja la research
Duuuh walitoa maswali gani mkuu? Samahani lakini.
Acha uvivu bro ingia google. Ni maisha yako haya.Naomba utusaidie custom procedures mkuu
Tumefikia huko mkuu😄Acha uvivu bro ingia google. Ni maisha yako haya.