BenElohimy
Senior Member
- Sep 21, 2021
- 181
- 222
Msaada please aliyewahi fanya interview huko. Mimi nimesoma Bsc. In statistics, lakini sasa tumechanganywa kozi kama zotee yaani.
Msaada msaada nifanyeje, nipeni mwangaza, hii ni first interview
Msaada msaada nifanyeje, nipeni mwangaza, hii ni first interview