MATEO GODFREY
Member
- Apr 7, 2014
- 55
- 89
- Thread starter
- #21
Sawa sawaLazima aijue physics ya radiation vizuri
Sawa sawaLazima aijue physics ya radiation vizuri
Nipo napitia ushauri wakila mmoja😂😂😂😂Hapo ndo anakwama sasa
Mm nipo kitambo tu sema si unajua ujobless pia unatupa ubize😀😂😂😂😂hahhhh huyu jobless wa Mungu simuonagi ndo leo.Ngoja akajue umuhimu wa ushirikiano kwanza
Ushauri wenu ndio chance yangu ya kutoboaPamoja ngoja arespond nimpe pakusoma kidogo
Nipo liveMATEO GODFREY unatafuta miongozo halafu unapotea mzee?
Haya msubiri wizy ataleta muongozo kamiliNipo live
Umesoma chemistry au biology?Hii post hata mm nimekuwa shortlisted [emoji28][emoji28][emoji28]
sem coz kibao zilikuwepo km 15+ mpk watu Mining Engineering..
ilo paper lako cjuiii litakuwaje. nimeamua kuachana nalo nafany sahili nyengine maan zote zipo mda mmoja
kilq la mkuu
EnvironmentalUmesoma chemistry au biology?
Walitangaza za diploma mwaka huuWakuu hivi Taec hawajatangaza ajira tena?
Duh Bachelor of science in physics si nafiti TAEC?Walitangaza za diploma mwaka huu
Tupo wote mkuu kwenye hicho kinyang'ang'anyiro,, kwenye hizo nne 1 yangu 1 yako.Mwaka huu (2025) pia wametoa nafasi 4 za Radiation safety inspector ll (Nuclear Physics). Maswali yapi yanaweza kuulizwa wadau na je Kuna interview ngapi.... Kuna mtu aliniambia pia Kuna practical
Aisee hii ni vita kaka. Watu wanne Tanzania nzima!!!Tupo wote mkuu kwenye hicho kinyang'ang'anyiro,, kwenye hizo nne 1 yangu 1 yako.
Sinazo sema watu waliosoma Bsc Physics tunahesabika mkuuAisee hii ni vita kaka. Watu wanne Tanzania nzima!!!
Kama una possible questions naomba kiongozi.
Vp ushindani unauona vipi
Umemaliza mwaka gani kiongozi, Mimi hapa wa 2022.Sinazo sema watu waliosoma Bsc Physics tunahesabika mkuu