MATEO GODFREY
Member
- Apr 7, 2014
- 33
- 53
Wadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja