appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,825
- 3,092
nimekua nikifanya kazi kampuni tofauti kama mbili lakini zote hizo nilikua nikipita bila interview sababu kuna wa2 walikua wananibeba si unajua tena nibebe nibebe nivukee salama.sasa kuna nafasi za kazi pale landmark hotel nimepeleka barua interview wik hii je wanaulizwa maswali gani kwa mwenye uzoefu post ni receiption
)