interview landmark wiki hii sijui lolote msaada plz.

interview landmark wiki hii sijui lolote msaada plz.

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,825
Reaction score
3,092
nimekua nikifanya kazi kampuni tofauti kama mbili lakini zote hizo nilikua nikipita bila interview sababu kuna wa2 walikua wananibeba si unajua tena nibebe nibebe nivukee salama.sasa kuna nafasi za kazi pale landmark hotel nimepeleka barua interview wik hii je wanaulizwa maswali gani kwa mwenye uzoefu post ni receiption
 
wiki hii mbona imeisha au mnafanya interview jumapili!
 
nimekua nikifanya kazi kampuni tofauti kama mbili lakini zote hizo nilikua nikipita bila interview sababu kuna wa2 walikua wananibeba si unajua tena nibebe nibebe nivukee salama.sasa kuna nafasi za kazi pale landmark hotel nimepeleka barua interview wik hii je wanaulizwa maswali gani kwa mwenye uzoefu post ni receiption

utajibeba na kujivusha salama umezoea miteremko sana
 
Toa cv yako usaidiwe maana inategemea na level yako kama la saba utasaidiwa kulingana na la saba........... Degree na kuendelea
 
Kama wewe ni receptionist unahitaji usaidiwe ni i tena wakati ulikuwa kazini muda wote? Majukumu ya kazi yako unayafanyaje?? Au hata kazi zako za kila siku umekuwa ukibebwa? Muulize huyo alokuwa anakubeba muda wote ana majibu ya kukupa!
 
Toa cv yako usaidiwe maana inategemea na level yako kama la saba utasaidiwa kulingana na la saba........... Degree na kuendelea

ni form six mkuu nimefaulu masomo yote na nina cheti cha computer basic yaani ms world .internet.excel na publisher
 
wewe ni me au ni ke labda tuanzie hapo, maana interview nazo zinatofautiana kwa hizi jinsia
 
Kama wewe ni receptionist unahitaji usaidiwe ni i tena wakati ulikuwa kazini muda wote? Majukumu ya kazi yako unayafanyaje?? Au hata kazi zako za kila siku umekuwa ukibebwa? Muulize huyo alokuwa anakubeba muda wote ana majibu ya kukupa!

nadhani ujaielewa post yangu vizuri naitaji kusikia baadh ya maswali yanayopendwa kuulizwa kwenye interview
 
nimekua nikifanya kazi kampuni tofauti kama mbili lakini zote hizo nilikua nikipita bila interview sababu kuna wa2 walikua wananibeba si unajua tena nibebe nibebe nivukee salama.sasa kuna nafasi za kazi pale landmark hotel nimepeleka barua interview wik hii je wanaulizwa maswali gani kwa mwenye uzoefu post ni receiption

Umeomba post gani?
 
Hayo ndo maswali yenyewe aliyoweka hapo, Ulikokuwa majukumu yako yalikuwa ni yapi? Ni kwa mda una uzoefu? Historia yako kwa ufupi, kuanzia elimu yako ya msingi na elimu ya juu uliyonayo, umezaliwa lini? trh mwz na mwaka. Historia yako katika kazi. kwa nini unataka kufanya kazin na landmark, kwa nini unaondoka uko ulikokuwa kwanza? Nini landmark wategemee kutoka kwako? Nini malengo yako ya baadae? Ungependa landmark wakulipe kiasi gani iwapo utaajiriwa na mengine mengi mkuu appoh. ukitaka zaidi ni PM.

nadhani ujaielewa post yangu vizuri naitaji kusikia baadh ya maswali yanayopendwa kuulizwa kwenye interview

Kama wewe ni receptionist unahitaji usaidiwe ni i tena wakati ulikuwa kazini muda wote? Majukumu ya kazi yako unayafanyaje?? Au hata kazi zako za kila siku umekuwa ukibebwa? Muulize huyo alokuwa anakubeba muda wote ana majibu ya kukupa!
 
Last edited by a moderator:
Hayo ndo maswali yenyewe aliyoweka hapo, Ulikokuwa majukumu yako yalikuwa ni yapi? Ni kwa mda una uzoefu? Historia yako kwa ufupi, kuanzia elimu yako ya msingi na elimu ya juu uliyonayo, umezaliwa lini? trh mwz na mwaka. Historia yako katika kazi. kwa nini unataka kufanya kazin na landmark, kwa nini unaondoka uko ulikokuwa kwanza? Nini landmark wategemee kutoka kwako? Nini malengo yako ya baadae? Ungependa landmark wakulipe kiasi gani iwapo utaajiriwa na mengine mengi mkuu appoh. ukitaka zaidi ni PM.

ok umenisaidia sana lugha ni ipi au ina depend
 
Last edited by a moderator:
ni form six mkuu nimefaulu masomo yote na nina cheti cha computer basic yaani ms world .internet.excel na publisher

kwa cheti hiki....kaombe tu mahali pengine ubebwe tena, bila kubebwa/kubeba huwezi kupita interview.
 
Back
Top Bottom