Interview ChildFund Alliance

Interview ChildFund Alliance

Mwanaharakati2013

Senior Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
170
Reaction score
15
Habari wakuu...samahani naomba mnijuze kuna email nimetumiwa na hii org kuwa natakiwa nifanye Aptitude test na wakanipa link ya centres ambazo nikishalipia wananitumia online test nafanya nawatumia wasahihishe.

Je kuna mtu anaweza share experience na mimi kuhusu hii kampuni na ofisi yao ipo wapi kwa Dar.. niliapply online siku nyingi sana. Najua wana ofisi nairobi na nchi nyingine.

Msaada wenu ni muhimu wakuu. Asanteni.
 
wewe achana na izo kampuni zinazotaka utoe hela,tusikilize sisi tulioingia mkenge long time,nilishakutana na icho kitu nikatuma pesa wakanipa online exams nikafanya wakanipa pass mark za juu kishenzi hata mi najua sikufaulu vile baada ya hapo coz nilikuwa nimeshawapa pesa sikusikia chochote kutoka kwao.so angalia issue nyingine.Mind you,anytime unapoona company au NGO inkuambia utoe ela achana nazo ni utapeli tu.
 
wewe achana na izo kampuni zinazotaka utoe hela,tusikilize sisi tulioingia mkenge long time,nilishakutana na icho kitu nikatuma pesa wakanipa online exams nikafanya wakanipa pass mark za juu kishenzi hata mi najua sikufaulu vile baada ya hapo coz nilikuwa nimeshawapa pesa sikusikia chochote kutoka kwao.so angalia issue nyingine.Mind you,anytime unapoona company au NGO inkuambia utoe ela achana nazo ni utapeli tu.

Asante karrote.. yaani wameniambia nitume matokeo ya hizo test kama sina ndio nifanye kwenye centre walizozisuggest.
so hata hela situmi kwa hiyo NGO natuma kwenye Centre inayotoa hizo test.
 
Last edited by a moderator:
Asante karrote.. yaani wameniambia nitume matokeo ya hizo test kama sina ndio nifanye kwenye centre walizozisuggest.
so hata hela situmi kwa hiyo NGO natuma kwenye Centre inayotoa hizo test.

Ushaambiwa na mkuu hapo juu usotume hela hujamsoma tu??
 
Last edited by a moderator:
Asante karrote.. yaani wameniambia nitume matokeo ya hizo test kama sina ndio nifanye kwenye centre walizozisuggest.
so hata hela situmi kwa hiyo NGO natuma kwenye Centre inayotoa hizo test.

.hao ni matapeli liveeee jaribu ujute watu wanatafuta pesa mjini hapa ajira ngumu.
 
Last edited by a moderator:
wezi wenyewe wanatuma hii mi kitambo nishashtuka

We are writing to inform you that after reviewing your resumes and credentials, you have been shortlisted for the above reference in our organization. This position is offered subject to satisfactory reference and pre - employment checks and completion of the two-staged interview period after which your full time appointment will be confirmed.

The first stage interview process involves the submission of Cognitive Assessment Test (CAT) Report evaluated by accredited international invigilator. We know it is not easy to get internationally accredited CAT invigilator. Kindly go ahead and obtain your certification from but not limited to the below.

1. Neto Communications Ltd: www.neto.com
2. Ascoms Kenya: ASCOMS KENYA

Attached please find enclosed new staff entry assessment form, fill it accurately and honestly and return together with the CAT certificate on or before end of business Friday 17th January, 2014 since we need to fill this position urgently.

We are all looking forward to working with you and hope you will soon feel part of the team. If you have any questions, please contact me.

Yours sincerely,
Kind Regards,

Mark Coker,
Human Resource and Personnel Manager,
ChildFund Alliance
211 E 43rd Street
New York
NY 10017

www.childfundalliance.org
 
We are writing to inform you that after reviewing your resumes and credentials, you have been shortlisted for the above reference in our organization. This position is offered subject to satisfactory reference and pre - employment checks and completion of the two-staged interview period after which your full time appointment will be confirmed.

The first stage interview process involves the submission of Cognitive Assessment Test (CAT) Report evaluated by accredited international invigilator. We know it is not easy to get internationally accredited CAT invigilator. Kindly go ahead and obtain your certification from but not limited to the below.

1. Neto Communications Ltd: Neato–We Make The internet Easy!–Dialup,DSL,Wireless,Hosting
2. Ascoms Kenya: ASCOMS KENYA

Attached please find enclosed new staff entry assessment form, fill it accurately and honestly and return together with the CAT certificate on or before end of business Friday 17th January, 2014 since we need to fill this position urgently.

We are all looking forward to working with you and hope you will soon feel part of the team. If you have any questions, please contact me.

Yours sincerely,
Kind Regards,

Mark Coker,
Human Resource and Personnel Manager,
ChildFund Alliance
211 E 43rd Street
New York
NY 10017

ChildFund Alliance
Hata mimi wamenitumia haiyo wezi wakubwa haoooo
 
Back
Top Bottom